Kwanini watu weusi (Wabantu) tulichelewa sana kutumia bunduki, na kwanini hatukutumia farasi?

Hizi bunduki(neno la kiarabu) ulaya zilianza kutumika miaka ya 1500. Asia, Uarabuni , India na kwingineko hawakuchelewa kuanza kuzitumia. Hata wakati wazungu wanaenda kuchukua makoloni walikutana na watu wenye bunduki.

Ajabu sisi hadi miaka ya 1800 na 900 mwanzoni tulikuwa bado hatujaadapt bunduki. Wazungu 150 walipigana na wazulu 3000. Alikufa mzungu mmoja naye aliuliwa kwa bunduki. Wazulu walikufa kama kumbikumbi.

Wahindi wekundu walipoona wazungu wanawazidi nguvu na wao wakaamua kutafuta bunduki. Kidogo hapo ndiyo waliweza kusurvive. Kwanini tulichelewa sana na hali tumeanza biashara na waarabu na wareno miaka ya 1500 huko.

Kitu kingine ni kwanini hatukuadapt matumizi ya farasi. Farasi ilikuwa ni kitu muhimu sana vitani. Tena hawa wameanza kutumika hata Yesu hajazaliwa. Nini shida wabantu hatukuadapt? Jamii karibu zote ulimwenguni ziliadapt farasi.
KWA SABABU KULIKUA HAKUNA HAJA YA KUTUMIA BUNDUKI. TULIKUA TUNA UTAJIRI WA VYAKULA NA ARHI. HALI YA HEWA SAFI NA KADHARIKA. SO KWANN UUMIZE KICHWA KUVUMBUA KITU AMBACHO HAKINA ULAZIMA. WALIKUA HAWATAFUTI CREDIT KWA MTU. WALIKUA NA MAISHA YAO MAZURI. AT THE SAME TIME EUROPEAN WALIKUA NA BARIDI KALI, UKAME NA ARDHI KUBWA ILIKUA NI BARAFU, ARDHI YENYE RUTUBA ILIKUA NDOGO ILIYO PELEKEA WATU KUGOMBANA WENYEWE KWA WENYEWE VITA VYA MIAKA 1000, KWA HIYO LOGICALLY IT MAKE SENSE KWAMBA KWA SABABU WAZUNGU WALIPITIA SHURUBA ZA ROHO MBAYA, UKATILI NA VITA VYA MDA MREFU NDO MAANA WALI LEARN VITU VINGI SANA ILI KUWEZA KU SURVIVE. ILA AFRIKA KULIKUA NI BUSTANI YA EDEN HATA VITA HAVIKUA VIKALI SANA, VITA VYA AFRIKA VILIKUA NI KWA AJILI YA KUONESHANA UBABE NA SIO KUGOMBANIA MALI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom