Bira shaka unaishi makambako weyeWe unaishi wapi mkuu.
Mbona sisi wengine wa mikoani ila ndugu zetu wa Dar wanatupenda sana tu. Sana tena
hapanaB
Bira shaka unaishi makambako weye
Nimefanya kauchunguzi kadogo nimegundua kuwa watu wengi wanaoishi dar, wanawabagua ndugu zao wanaoishi mikoani..sijui hii inatokana na nn..
Hakuna mzee anayeweza kusema hivyo.Kila mtu ana ndugu dar
Kila mtu anaishi au alishawahi kuishi dar
Kila mtu anaenda au anasafiri dar maisha mikoani yakimpiga
Ametia mimba mwanafunzi huku misungwi mwanza kakimbilia dar
Bodaboda mtaani wamekata watu mapanga wamekimbia dar kuepuka msala
Shule zimefungwa au chuo eti naenda dar kwa sister
Mwanangu hauna kazi unajishindwa hata kwenda kuwa mwizi dar "utawaskia wazee wakisema
Sent using Jamii Forums mobile app