Kwanini watu wengi wanaandikia mkono wa kulia?

Ni jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza iweje idadi kubwa ya wanadamu hutumia mkono wa kulia,kwa kufanya shughuli mbalimbali hasa kuandika.Wakati ilipaswa tutumie mkono wa kushoto kwa maana katika lugha nyingi katika kuandika au kusoma tunaanzia upande wa kushoto kwenda kulia hivyo mkono sahihi kutumia ulipaswa uwe wa kushoto.Labda waarabu na watu wa lugha nyingine wanazoanzia kuandika au kusoma kulia kwenda kushoto ndio wanapaswa kutumia mkono wa kulia.Unasemaje mdau, maana hata wewe nadhani ni muathirika

kwa ninachofahamu hakuna uhusiano kati yakusoma na kuandika kwa sababu hata kama maneno yapo juu chini yanasomeka lakini kuandika juu chini ni utata "rouy teh remastr" kusoma yanawezekana.
 
And statistics zinaonesha kuwa 10% tu ya watu wote dunianai ndio wanatumia mkono wa kushoto

Katka Qur'an imebainisha kutumia mkono wa kulia tu katika mambo ambayo wewe sasa unaona in natural unatumia ivo bac natural ya binadam masonic wao mambo meng utumia shoto hata madaftr yanayoanzshia kushoto n mbinu zao kuwajenga watu ivo hyo n sawa na SAA kwenda kinyume wakat ilipaswa SAA mbili mshale ukae kwenye mbili lakin cha ajabu mshale unakaa kwny nane na nane uktoa mbili tunapata 6 nasi tushalewa me yangu nshaweka kiukweli kama mbili n mbili
 
Katka Qur'an imebainisha kutumia mkono wa kulia tu katika mambo ambayo wewe sasa unaona in natural unatumia ivo bac natural ya binadam masonic wao mambo meng utumia shoto hata madaftr yanayoanzshia kushoto n mbinu zao kuwajenga watu ivo hyo n sawa na SAA kwenda kinyume wakat ilipaswa SAA mbili mshale ukae kwenye mbili lakin cha ajabu mshale unakaa kwny nane na nane uktoa mbili tunapata 6 nasi tushalewa me yangu nshaweka kiukweli kama mbili n mbili

Sasa kwa nini hatukupewa mkono mmoja tu?
 
kwa sababu vitu vingi duniani vinaanza na kulia kwa mfano saa ya ukutani mshale wake unaanziya kulia kwenda kushoto ila mwamerika amekanganya kwenye namba saa 1 ni 7 hakuna msomi yeyote duniani atakayesema eti! 'one' kinyume chake 'seven'.dunia hujizungusha kwenye muhimili wake kutoka kuliya kwenda kushoto wanajografia wamethibitisha ilo.kiarabu Luga Uanzia Kulia Kwenda Kushoto.nati Za Gari,pikpiki,baiskel,ndege,garimoshi Nakadhalika Huanza Kufunguliwa Kulia Kwenda Kushoto.pande Kuu Nne Za Dunia Yani Kaskazini,mashariki,kusini Na Magharibi Huanza Kusomwa Kulia Kwenda Kushoto,jua Huchomoza Kulia Kwenda Kushoto,KULIA NDO HABARI YA ULIMWENGU.
 
kwa sababu vitu vingi duniani vinaanza na kulia kwa mfano saa ya ukutani mshale wake unaanziya kulia kwenda kushoto ila mwamerika amekanganya kwenye namba saa 1 ni 7 hakuna msomi yeyote duniani atakayesema eti! 'one' kinyume chake 'seven'.dunia hujizungusha kwenye muhimili wake kutoka kuliya kwenda kushoto wanajografia wamethibitisha ilo.kiarabu Luga Uanzia Kulia Kwenda Kushoto.nati Za Gari,pikpiki,baiskel,ndege,garimoshi Nakadhalika Huanza Kufunguliwa Kulia Kwenda Kushoto.pande Kuu Nne Za Dunia Yani Kaskazini,mashariki,kusini Na Magharibi Huanza Kusomwa Kulia Kwenda Kushoto,jua Huchomoza Kulia Kwenda Kushoto,KULIA NDO HABARI YA ULIMWENGU.

vipi kuhusu lugha yetu,kiingereza,kifaransa,kiispaniola,kiitaliano na lugha nyingi duniani tunaanzia kusoma au kuandika kushoto kwenda kulia
 
Ni jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza iweje idadi kubwa ya wanadamu hutumia mkono wa kulia,kwa kufanya shughuli mbalimbali hasa kuandika.Wakati ilipaswa tutumie mkono wa kushoto kwa maana katika lugha nyingi katika kuandika au kusoma tunaanzia upande wa kushoto kwenda kulia hivyo mkono sahihi kutumia ulipaswa uwe wa kushoto.Labda waarabu na watu wa lugha nyingine wanazoanzia kuandika au kusoma kulia kwenda kushoto ndio wanapaswa kutumia mkono wa kulia.Unasemaje mdau, maana hata wewe nadhani ni muathirika

mbona ujauliza kwa nini tunakula kila siku?
 
kwa sababu vitu vingi duniani vinaanza na kulia kwa mfano saa ya ukutani mshale wake unaanziya kulia kwenda kushoto ila mwamerika amekanganya kwenye namba saa 1 ni 7 hakuna msomi yeyote duniani atakayesema eti! 'one' kinyume chake 'seven'.dunia hujizungusha kwenye muhimili wake kutoka kuliya kwenda kushoto wanajografia wamethibitisha ilo.kiarabu Luga Uanzia Kulia Kwenda Kushoto.nati Za Gari,pikpiki,baiskel,ndege,garimoshi Nakadhalika Huanza Kufunguliwa Kulia Kwenda Kushoto.pande Kuu Nne Za Dunia Yani Kaskazini,mashariki,kusini Na Magharibi Huanza Kusomwa Kulia Kwenda Kushoto,jua Huchomoza Kulia Kwenda Kushoto,KULIA NDO HABARI YA ULIMWENGU.

kuvuka barabara tunaanzia kulia kwenda kushoto,
 
Kuna mtoto alikuwa anapenda kutumia kushoto wakati wa makuzi yake nilimbadilisha sasa hivi anatumia mkono wa kulia kufanya shughuli zake.
Ni swala la kujifunza tu. Mf ukimpatia mtoto kitu unakuta anapokea na mkono wa kushoto ujue huyo ni left hand ukimbadilisha anabadilika.
 
Nafikir tukianza kuangalia sifa, watu wanaotumia mkono wa kuume ni wengi kuliko wanaotumia mkono wa kuuke!!. Mfano wacheza mpira maarufu ronaldo, hazard, neymar,mbape,lewandowsky, drogba,etoo,bocco,kagere, etc. Matajiri wakubwa pia ni wengi, wanamziki pia ni wengi, waigizaji pia ni wengi. Hata kwa idadi ya watu wanaotumia mkono wa kuume ni wengi mno, hivyo tusidanganyane eti mtu anaetumia mkono wa kushoto ni bora sana, si kweli
 
Nitajaribu kuelezea suala hili kitaalam japokua mimi si mwandishi mzuri.

Ubongo wa binaadam umegawanyika sehem hemisphere mbili right n left. Hizi hemisphere zinaunganishwa na utando unaofahamika kama corpus callosum.
Namna ya ubongo unavofanya kazi ni kinyume na kawaida kwa maana nusu ya kulia inahudum kushoto na nusu ya kushoto inahudumia upande wa kulia kwa muktadha huo watumiaji wa mikono ya kushoto wanatumia zaidi right hemisphere (dominant) na right handed wanatumia left hemisphere.
Nusu zote za ubongo zmehusishwa na tabia flani ama abilities flani kua more dominant kwenye upande flani mfano right hemisphere ina sifa ya creativity na arts hii ndio sababu watu wengi wa left hands wanakua wanaonekana wana vipaji zaidi
Kuhusu wingi nadhani hii ni nature ya maumbile kwa maana normal ni kitu kipo kwa wengi na abnormal ni kitu kinachotokea kwa wachache mfano normal binadam ana 4 limbs 2 upper 2 lower lakini ikitokea mtu ana lower 3 anakua abnormal hii inamansha kwamba kama ingalikua watu wengi wana miguu 3 basi sisi wenye miwili tungeitwa abnormal yan handicapped au disabled



Spidernyoka

59048549d995fae756d4f84e6678fcb0.959966.jpg
 
Back
Top Bottom