Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Habari zenu wakuu,
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimebahatika kutambua kitu ambacho nilkuwa sikijui nacho ni kuwa waumini wengi wa dhehebu la wasabato ni watu wa Kanda ya ziwa hasa wakurya mfano kwa hapa Dar maeneo ya Gongo la Mboto, Kitunda, Lugalo, Mabibo n.k ambako kunaaminika kuwa na idadi kubwa ya wakurya wengi wao husali sabato kwa kifupi hapa mjini ni vigumu kukuta kanisa la wasabato bila wakurya.
Naomba kujuzwa kuhusu jambo hili ni kwa nini wakurya wengi ni wasabato?
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimebahatika kutambua kitu ambacho nilkuwa sikijui nacho ni kuwa waumini wengi wa dhehebu la wasabato ni watu wa Kanda ya ziwa hasa wakurya mfano kwa hapa Dar maeneo ya Gongo la Mboto, Kitunda, Lugalo, Mabibo n.k ambako kunaaminika kuwa na idadi kubwa ya wakurya wengi wao husali sabato kwa kifupi hapa mjini ni vigumu kukuta kanisa la wasabato bila wakurya.
Naomba kujuzwa kuhusu jambo hili ni kwa nini wakurya wengi ni wasabato?