kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mimi katika Watu ambao wana uoga wa kupima afya Zao nafikiri Mimi wa kwanza
Kuna siku niliwahi kupimwa nikaonekana Na ugonjwa wa hepatitis B
Nilivyo muhuliza doctor dalili za ugonjwa huo ni nini?
Akaniambia, nikachunguza kabisa katika maisha yangu kama nimesha wahi kupatwa Na dalili izo Nikangundua hapana kabisa. Nika angalia toka ni zaliwe adi kufikisha miaka 19 Nilikuwa bado sijafanya mapenzi na mwanamke.
Nilijaribu kujitetea kwa madoctor hehe bwana awa Watu sio wazuri wana mfanya mtu akate tamaa ya kuishi
Kuna siku niliwahi kupimwa nikaonekana Na ugonjwa wa hepatitis B
Nilivyo muhuliza doctor dalili za ugonjwa huo ni nini?
Akaniambia, nikachunguza kabisa katika maisha yangu kama nimesha wahi kupatwa Na dalili izo Nikangundua hapana kabisa. Nika angalia toka ni zaliwe adi kufikisha miaka 19 Nilikuwa bado sijafanya mapenzi na mwanamke.
Nilijaribu kujitetea kwa madoctor hehe bwana awa Watu sio wazuri wana mfanya mtu akate tamaa ya kuishi