Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeweza?huko uliko nyie n weusi?tuanzie hapo kisha upewe jibu.Wasaalam wakuu
Kama kichwa kinavyojionesha hapo juu swali langu la msingi ni kwanini watu wengi hasa sisi ( watu weusi) tunashindwa kujipangia malengo??namaanisha clear,written,measurable and time-bounded goals...
Au atakuwa katumia kifuu cha nazi kufanya utafiti!!!!!!!watu weusi ndio watu Gani ? umejuwaje kuwa watu hawana malengo?
Mkuu katika hoja yeyote ile penda kujitumia wewe mwenyew binafsi mf. ''kwanini mimi nashindwa kujipangia malengo'' alafu hapo ndio utasaidiwa mawazo mazuri na hadhira kwa ujumla..Wasaalam wakuu
Kama kichwa kinavyojionesha hapo juu swali langu la msingi ni kwanini watu wengi hasa sisi ( watu weusi) tunashindwa kujipangia malengo??namaanisha clear,written,measurable and time-bounded goals...
Hatuna nidhamu ya fedha.Wasaalam wakuu
Kama kichwa kinavyojionesha hapo juu swali langu la msingi ni kwanini watu wengi hasa sisi ( watu weusi) tunashindwa kujipangia malengo??namaanisha clear,written,measurable and time-bounded goals...
Mkuu katika hoja yeyote ile penda kujitumia wewe mwenyew binafsi mf. ''kwanini mimi nashindwa kujipangia malengo'' alafu hapo ndio utasaidiwa mawazo mazuri na hadhira kwa ujumla..
Nasema hivyo kwa sababu una uhakika gani watu wengine hawawezi kujipangia malengo nk.
Mwisho kabisa hata kama hao hadhira hawawezi kujipangia malengo, wewe huna uwezo wa kuwabadilisha namna walivyo zaidi na zaidi wewe pekee ndio mwenye maamuzi ya kujibadilisha uwe mtu wa kutimiza malengo yako na Maisha yakasonga. Ukikaa kuangalia kwann watu wako hv ama vile unakua unapoteza uwezo wa kujichunguza wew binafsi.
Mkuu mi naweza nikawa kundi lolote apo but issue nayotaka kujua je ni vitu gani vinasababisha mtu/watu washindwe jiwekea malengo??