babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Sio siri uchaguzi mkuu wa wabunge na Rais wa mwaka huu 2010, umeacha maswali mengi na maeneo kadhaa ya Political analyst na Political Scientist kuyafanyia kazi. Moja ya eneo hilo ni IDADI NDOGO YA WAPIGA KURA ILIYOJITOKEZA.
Katika vituo karibu vyote vya Tanzania Bara, watu waliojitokeza ni chini ya asilimia 50. Ukiangalia watu waliokuwa wakihudhuria mikutano ya wagombea urais, na ukiangalia idadi ya watu waliokuja piga kura mtu unajiuliza kulikoni?
Hali hii inanifanya nikubaliane na hofu aliyokuwa nayo Prof Baregu juu ya uhakika wa hizo data za wapiga kura. Nafikiri kuna haja ya utafiti wa hali ya juu ufanyike ili kujua hasa nini kimefanyika kilichopelekea idadi ya watu waliojitokeza kuwa ndogo kiasi hiki.
Katika vituo karibu vyote vya Tanzania Bara, watu waliojitokeza ni chini ya asilimia 50. Ukiangalia watu waliokuwa wakihudhuria mikutano ya wagombea urais, na ukiangalia idadi ya watu waliokuja piga kura mtu unajiuliza kulikoni?
Hali hii inanifanya nikubaliane na hofu aliyokuwa nayo Prof Baregu juu ya uhakika wa hizo data za wapiga kura. Nafikiri kuna haja ya utafiti wa hali ya juu ufanyike ili kujua hasa nini kimefanyika kilichopelekea idadi ya watu waliojitokeza kuwa ndogo kiasi hiki.