Kwanini watu wengi hasa wanawake hawapendi majina ya kibantu? Ubaya wake uko wapi?

Sisi waafrika hasa watanzania tunapenda sana kuiga vitu vya wazungu hata kama hatujui maana yake nini. Na kwa bahati mbaya sana tunaiga na kupitiliza kuliko hata hao tunaocopy kutoka kwao. Mimi sidhani kwamba ukoloni peke yake ndio ulioleta hii kasumba ya kupenda majina ya kizungu hata kama hatujui maan ya hayo majina bali pia kutothmini ila nadesturi zetu na kufagilia za nje. Si tk majina tu bali karibia kila kitu tunashobokea hata uchafu unaofanywa na wazungu. Hatjiamini na asili yetu na bahati mbaya sana hata serkali zetu hazikutilia mkazo kwenye suala la majina ya saili ndiyo maana tumefika hapa tulipo leo!

Kama kweli ni ukoloni ndio uliotufanya tuache majina yetu ya asili mbon nch kama za bara a asia kama CHINA, JAPANI, NCHI ZOTE ZA KIARABU watu wake wamedunmisha majina ya asili pamoja kwamba nao walitawaliwa na wakoloni? Hata baadhi ya nchi a Africa kama vile Africa ya Kusini na nchi za Afrika magharibi kam GHANA,NIGERIA na nchi nyingine za ukanda huo kwa kiasi ulani wanatumia majina yao ya asili? Hata nchi jirani kama Kenya na Uganda wanatuimia majina yao ya asili kwaasilimia kubwa ukilinganisha na Tanzania. Hivyo tatizo letu waafrika ni ulimbukeni wa kuiga na kuthamini vitu vya kizungu kiliko asili yetu tena tunaurahia kweli kweli!

Umefanya uchunguzi kujua waAfrika magharibi hawatumii majina ya kizungu?
Hakuna nchi wanayopenda kutumia majina ya kimagharibi kama waGhana, kuna kabila moja wanaitwa 'Chwi', majina ya walio wengi ni ya kizungu/kimagharibi...hata Liberia wanatumia sana haya majina...

Africa kwa ujumla tumetawaliwa karibu kila kitu....
 
Nainkwa, Nakaniwa, Nasembiwa, Nasemba, Nashumbwe, Natujwa, Nafwiwa, Nakadori, Na.....!lol..majina mengine....
Hata mnipige mawe baby wangu nitamwita Paris...
Mbona leo hatuabudu mawe, jua, miti mikubwa...?

Hakuna umaskini mbaya zaidi dunian kama umaskini wa akili.-nukuu toka kwa jk nyerere.

Ni kweli hata watu,miji,mitaa,shule (mabwen pia) hospitali,vinamajina ya kigeni.na hao wagen wala hawana mpango wa kutumia majina toka kwetu hata kwa kuwapa mbwa wao.eti wewe wajina una kwenda na wakati.mtumwa akili ni mtumwa tu hata kama una mali,cheo au elimu.pole mtu mweusi pole mtu wa daraja la tatu
 
Bora valentine day mwenzangu kuliko hayo ya ya shida,tabu cjui cha usiku n.k

Nanyi msiwe na vichwa vigumu hi shuleni mlikuwaje? Hata ktk kizungu kuna maji yana tafsiri mbaya.je wewe unaweza kuitwa "gayman"?shida, chuki,matatizo sio ya kumpa mtoto.
Ebu ona majina haya:
Tutyndanga=tunasema asante (mungu)
Gwakisa=mwenye huruma (mungu)
Gwamaka=mwenye rehema (mungu)
Lugano=mwenye upendo
Tusajigwe=tumebarikiwa
Twisibileghe=tumejizatiti (kiuchumi)

Tunaiga kila kitu,kuongea,kufanya mapenzi, na ulimbukeni kibao lakini hatuwezi kuiga akili za mzungu.kumbuka akili ndio kila kitu,mungu akunyime chochote lakini asikunyime akili. England hawana migodi ya madini lakin ndio taifa pekee lenye reserve kubwa dunian ya madini kuliko hata nchi zenye madini.
 
Hakuna umaskini mbaya zaidi dunian kama umaskini wa akili.-nukuu toka kwa jk nyerere.

Ni kweli hata watu,miji,mitaa,shule (mabwen pia) hospitali,vinamajina ya kigeni.na hao wagen wala hawana mpango wa kutumia majina toka kwetu hata kwa kuwapa mbwa wao.eti wewe wajina una kwenda na wakati.mtumwa akili ni mtumwa tu hata kama una mali,cheo au elimu.pole mtu mweusi pole mtu wa daraja la tatu

Umesema kweli yote mkuu...
Umaskini wa akili ni kama laana, na baadhi yetu tunatafunwa na laana hiyo!
 
kumbe kweli we mgogo!!

nilikuwepo kwenu bana enzi zile nikiwa kwenye foolish age!!!

uliza sasa nilichoacha huko, mpaka sasa natafutwa na wenye maziwa..!!

Uliacha nini Excel? Au uliharibu? Nipe details naeza kukusaidia wenye maziwa wakakusamehe
 
Acholile kachola. Mtu akikuzidi kila kitu huwezi kuwa na ujanja juu yake. Wazungu wametuzidi kila kitu, ki-maendeleo, ki-uchumi, ki-elimu, ki-teke linalokujia na ki-mambo ya kishenzi.
Mfano hata kwenye familia zetu akitokea mmoja kawazidi sana mambo niliyoyataja hapo juu, mtu huyo lazima atatukuzwa na kusikilizwa kila jambo.
Kwa sababu hizo mzungu atafagiliwa mpaka mwisho, na si kwa majina tu, hata jinsi tunavyoishi, tunavyosoma, tunavyoendesha siasa na serikali zetu ni mambo ya kumuiga mzungu na kuyakataa mambo ya ki-Afrika.
 
majina tena, nimekumbuka mada hii baada ya kuona mada ikisema kuna majina ya wasichana warembo/watamu/wenye mvuto. na wanaume pia. kwa faida ya wageni nimeichangia wasome pia
 
Back
Top Bottom