bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Kwanini watu wazima hawapati mapunye kichwani Kama ilivyo kwa watoto.
Maana watoto wengi hukumbwa na tatizo hili!
Maana watoto wengi hukumbwa na tatizo hili!
He he nimecheka sana aisee sasa mapunye na ccm wap na wapWATOTO WETU WANAADHIBIWA KWA SABABU YA LAANA YA WAKUBWA KUENDELEA KUICHAGUA CCM
WATOTO WETU WANAADHIBIWA KWA SABABU YA LAANA YA WAKUBWA KUENDELEA KUICHAGUA CCM
CCM bhana wameleta hadi Corona.WATOTO WETU WANAADHIBIWA KWA SABABU YA LAANA YA WAKUBWA KUENDELEA KUICHAGUA CCM
CCM hao.Sio laana ya Chadema??