mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,038
- 35,911
Sina haja ya kuwataja majina, ila wanasiasa vijana ndani ya CCM wanachukiwa na watu kulinganisha na wenzao ndani ya UKAWA and vice versa, wazee ndani ya UKAWA hawapati heshima kama ya wazee wa CCM.
Kijana ndani ya CCM akijitahidi kuonyesha uwezo wake ataambiwa mnafiki, anajipendekeza, anatumia umaarufu wa baba yake n.k.
Hii ni hatari kwa mustakabali wa CCM huko mbeleni.
Kijana ndani ya CCM akijitahidi kuonyesha uwezo wake ataambiwa mnafiki, anajipendekeza, anatumia umaarufu wa baba yake n.k.
Hii ni hatari kwa mustakabali wa CCM huko mbeleni.