Kwanini watu wanaogopa sana kuiba umeme wa TANESCO kuliko maji ya DAWASCO?

umeme mali ya mungu kwanini nyie mnatuuzia ?
Usidhubutu kuiba au kuhujumu miundombinu ya TANESCO na unapoona viashiria vyovyote tupigie simu mara moja kwa namba zetu 0748550000.

Tunatoa zawadi nono kuanzia Tsh laki moja na kuendelea

Kiasi cha zawadi kinatokana na kiasi cha upotevu kilichookolewa

TANESCO, tupo Kazini
 
Umeme unahitaji ufundi na utundu mwingi. Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.

Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.

Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.

Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.

Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.

Swali lingine,mwizi mwenzetu.
SAFI
 
Sasa mwizi mwenzetu wewe umeona maji na umeme ndio vya kuiba peke yake kwa nini hujiulizi zile nguo zilizoandikwa magereza urekebishaji haziibiwi hata zikiachwa siku 5 nje
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na ubunifu wa ajabu yeye alikuwa anapachika kifaa kwenye mita mita yenyewe inachanganyikiwa basi ni free data, et data free tanesko, na watanesko walimpa ofa kwa ulipaji mzuri kumbe anawapiga kuna mwingine ndio anatumia mpaka saiz amefunga na mota za mashine kabisa mwaka wa sita sasa na sijui kama watamdaka bila. Ya mm kusema TANESCO, watu wabunifu bwana
Mwaka wa sita, ni kifaa gani hicho? Tupeane ujuzi
 
Umeme unahitaji ufundi na utundu mwingi. Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.

Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.

Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.

Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.

Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.

Swali lingine,mwizi mwenzetu.
Uzi ufungwe.
 
Umeme unahitaji ufundi na utundu mwingi. Vilevile changamoto nyingine ni urefu wa nguzo au juu ukutani.

Ukianza utundu(wizi)kila mtu anakuona mubashar.

Halafu,umeme ni moto ule.Ukileta maskhara unakufa au kupata majeraha au ulemavu.

Tofauti na maji ambapo miundombinu ipo ardhini.Ukianza wizi wako wachache wataweza kugundua.

Unaunganisha kwa ulaini huku umeshika jembe kama upo bustanini.

Swali lingine,mwizi mwenzetu.
Thread iishie hapa.
 
Back
Top Bottom