Kila mtu kwa mdomo wake awe tayari kusema nitatoa haki kwa kila mtanzania, haya ya kusikika amani ikiombwa itawale si jambo zuri sana, watu wegine wana tabia ya kudhulumu sana na si wana utayari wa kutoa haki.
Kwanini imekuwa ngumu kwa wagombea kutuhakikishia Haki anapewa kila Mtanzania na kila chama, unafikiri ni kwanini? Je, wana maslahi binafsi au wana maovu waliyo yatenda ndiyo huwafanya wasiwe tayari kutoa haki maana hawajajiandaa.
Kwanini imekuwa ngumu kwa wagombea kutuhakikishia Haki anapewa kila Mtanzania na kila chama, unafikiri ni kwanini? Je, wana maslahi binafsi au wana maovu waliyo yatenda ndiyo huwafanya wasiwe tayari kutoa haki maana hawajajiandaa.