Kwanini watu wanakimbilia kugombania kushika jeneza wakati wa kuzika

Babumawe

JF-Expert Member
Sep 12, 2014
2,556
2,560
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu nadhani utakuwa ushawahi kuona watu wakiwa wanaenda kuzika kunakuwa kuna msongamano wa watu kila mtu akitaka kugusa jeneza. Hii kitu imekaaje yaani kuna nini nyuma ya hii kitu watu kutaka kuligusa tu na unakuta mwingine hamjui hata aliyefariki nani lakini unakuta anakimbilia kugombania kuligusa.

Je ni kwamba watu wanataka tu wahakikishe kwamba umekufa kweli au kuna mavuno unayapata kutokana na tendo hilo kama ni ivyo mbona unakuta mtu mwingine aliyekufa walikuwa maadui lakini anakimbilia kulishika.

Wajuzi wa mambo tunaomba ufafanuzi kuhusu hii kitu.
 
Unafiki tu
Umeniwahi mkuu.
Nilitaka kusema ule ni unafiki tu wa waafrika.
Ni show-off waonekane wanashiriki kikamilifu kwenye mazishi ya wenzao, kifupi wanajaribu kuwafurahisha watu wanao waona na siyo marehemu au Mungu wao ambae wengine anawajua nafsini mwao walikuwa hawampendi marehemu.

Wengine wakitoka hapo wanaenda kumpondea marehemu kafa maskini, alikuwa anajisikia, alikuwa mzinzi, mchoyo, n.k.
 
Undoa neno kugombania kwenda kupanga mstari ni kugombania.
 
Back
Top Bottom