Sent From Heaven
Member
- Nov 9, 2017
- 34
- 32
Siku nyumba ikishika moto balaa huanzia hapoWachina bank yao ni kibubu tu hamwamini mtu. Unamkuta ana million 50 chini vya godoro
Siku nyumba ikishika moto balaa huanzia hapoWachina bank yao ni kibubu tu hamwamini mtu. Unamkuta ana million 50 chini vya godoro
Kwa NMB Mobile Bank kulipia Bills za Maji,Umeme,TRA na kununua muda wa maongezi katika simu wanakata Pesa nijulishe mkuuuNi njia mojawapo ya kuiwezesha bank kujiendesha.
Kama NMB wanakata 1900 kila mwezi kwa personal account.
Unapotaka kuichimbia pesa mwaka mzima kule piga na mahesabu ya makato yao kabisa.
Pia nikukumbushe tu kutoa pesa dirishani ni 4000/= makato ila kwny ATM ni 900/=
Pia kutuma fedha kwa NMB mobile ni gharama zaidi kuliko kuitoa na kuituma kwa njia tofauti na hiyo.
Wengi wetu tunafanya miamala bila kufahamu tozo.
Mtoa mada yuko sahihi sana.Kwahiyo wewe unaoona huo utaratibu wa kukata hela kweye akiba ya mtu ambaye kaziacha tu ni sawa?
Siyo kila utaratibu uliowekwa na haya mabenki uko sawa,moja wapo ni huu uondolewe
nenda kaweke equity bank, hawana makatoNikazi kubwa sana mkuu, ila nnachojua ni kuwaambia tu nataka akaunt ambayo haina makato ya kila mwezi, sio kila benki wana hiyo akaunti, wengine hawana.
Kuna nyingine ni nzuri zaidi sema ina masharti kwenye kutoa, unatoa mara nne tu kwa mwaka, lakini unapewa asilimia ya riba kutokana na kiasi unachokua nacho benki. KCB anaiita Simba, hii benki nyingi wanazo ila ndio iwe ya kujiwekea akiba tu na sio ile ambayo utakua unatoa pesa mara kwa mara.
nenda kaweke equity bank, hawana makato
How?are they liabilities or profits? Because they lend them to their customers for extra income.Kama hamjui saving are liabilities to banks!
Iyo pesa ya kutolea 900 na list au bila listNi njia mojawapo ya kuiwezesha bank kujiendesha.
Kama NMB wanakata 1900 kila mwezi kwa personal account.
Unapotaka kuichimbia pesa mwaka mzima kule piga na mahesabu ya makato yao kabisa.
Pia nikukumbushe tu kutoa pesa dirishani ni 4000/= makato ila kwny ATM ni 900/=
Pia kutuma fedha kwa NMB mobile ni gharama zaidi kuliko kuitoa na kuituma kwa njia tofauti na hiyo.
Wengi wetu tunafanya miamala bila kufahamu tozo.
*LIST = RISITI.Iyo pesa ya kutolea 900 na list au bila list
Nijulishe
Account gani iyo mkuu, ndo saving account au vipiMkuu, sijasema ni sawa, lakini wao wanakutoza pesa kwa ajili ya kukupa huduma ya kukutunzia pesa zako.
Mimi akaunti yangu nakatwa pale nnapoenda kutoa pesa tu, mambo ya makato ya mwisho wa mwezi hayapo.
Ndio maana nikasisitiza kuelewa aina tofautitofauti za akaunti za uendeshaji wake. Nafikiri tumeelewana
Account gani iyo mkuu, ndo saving account au vipi
Benki gani NMB au CRDB?Wenyewe wanaiita Pay as You Go
Benki gani NMB au CRDB?