Kuna jilani wetu hapa hu ni mwaka watatu asalimii wala kushirikiana na majilani wenzie ni mtu wa mikoani , ana makasiriko kibao yule acha tu, mtu wa bara akifumania mkewe hawezi kusamahe hata kumsikiliza tena, ni kutaka kumkata visu kumuua, hilo ni melishuhudia mwenyewe, ukimkosea jambo hawezi kukusamehe mpaka alipize visasa hilo ni mekutana nalo uko high school, hata akichinja mbuzi hawapi majirani wake hata kipande cha nyama hilo na liona hapa mtaani kwetu. Ni kwanini ni kwasbb ya vyakula vyao au kutokua na imani na hofu ya Mungu?......