kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
1. Hapo miaka ya mwanzoni mwa miaka ya 2000 matukio ya vifo vya albino
2. Mauaji holela ya watu huko tarime mara
3. Mauaji ya vikongwe wenye macho mekundu Kwa kisingizio eti ni wachawi shinyanga na mikoa jirani
4. Ukatili wa kijinsia huko,tazama kielelezo hapo chini.
5. Matukio ya ujambazi
6. Imani potofu na kuwageuza watu misukule ( Mfalme Zumaridi na mazombi wake)
Hayo ni machache kati ya Yale mengi yanayofanyika huko. Nadhani ni wakati Sasa wa jamii kuanza kuwasemanga na kuwakosoa hadharani.
Ni miongoni mwa watu wanaotuaibisha Tanzania kimataifa kutokana na tabia zao zisizoonesha ustaarabu na kustaarabika kijamii,kimaadili na kimaono.
2. Mauaji holela ya watu huko tarime mara
3. Mauaji ya vikongwe wenye macho mekundu Kwa kisingizio eti ni wachawi shinyanga na mikoa jirani
4. Ukatili wa kijinsia huko,tazama kielelezo hapo chini.
6. Imani potofu na kuwageuza watu misukule ( Mfalme Zumaridi na mazombi wake)
Hayo ni machache kati ya Yale mengi yanayofanyika huko. Nadhani ni wakati Sasa wa jamii kuanza kuwasemanga na kuwakosoa hadharani.
Ni miongoni mwa watu wanaotuaibisha Tanzania kimataifa kutokana na tabia zao zisizoonesha ustaarabu na kustaarabika kijamii,kimaadili na kimaono.