Kwanini watu hupiga picha na magari lakini huficha 'number plate'?

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,892
22,649
Sababu huwa nini na umuhimu wa kuficha ninini?

USSR
 
Wengi wao wanapiga picha na magari ya watu. Kuepuka fedheha ya kuumbuliwa wanaficha namba.

Wenye magari yao hasa ni nadra kupozi na hayo magari kwa ajili ya picha.

Wale wazee wakuazima sasa, utaona kapost 'dar foleni' kimkono kipo kwenye steering huku hajui hata bei ya tairi ya hilo gari.
 
Wengi wao wanapiga picha na magari ya watu. Kuepuka fedheha ya kuumbuliwa wanaficha namba.

Wenye magari yao hasa ni nadra kupozi na hayo magari kwa ajili ya picha.

Wale wazee wakuazima sasa, utaona kapost 'dar foleni' kimkono kipo kwenye steering huku hajui hata bei ya tairi ya hilo gari.
Ni kweli kabisa, wenye madungu jeshi ya ukweli hawana time na hii mambo ya kupiga picha na magari..
 
Hawataki kuonekana wana ukwasi.
Mfano huyu jamaa bhachu
IMG_20221015_100136.jpg
IMG_20221015_100138.jpg
 
Wewe ndugu mwenye Subaru Forester Dzq namba kapuni nakutafuta😅😅😅😅😅

Au sijui sio gari yake mwe
 
Sababu huwa nini na umuhimu wa kuficha ninini?

USSR
Wengine wanaazima wapigie picha tu, so wanaogopa watu wanaweza ingiza hizo namba kwenye mfumo wa TRA na wakaona mmiliki halali.
 
Wengi wao wanapiga picha na magari ya watu. Kuepuka fedheha ya kuumbuliwa wanaficha namba.

Wenye magari yao hasa ni nadra kupozi na hayo magari kwa ajili ya picha.

Wale wazee wakuazima sasa, utaona kapost 'dar foleni' kimkono kipo kwenye steering huku hajui hata bei ya tairi ya hilo gari.
khaaaah.
 
Back
Top Bottom