Kwanini watu hawampendi Rais Magufuli?

Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.
bf1e96a51d766d5f6b403d5eab7dffb3.jpg
 
Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.
Watu gani hao,labda watu wa Chadema na mafisadi ndio hawapendi
 
.

Its so obvious kwamba wale ambao walikuwa Wezi, Wauza Unga, Mafisadi, wapiga dili, Wajinga, Wapumbavu na Watu wa Magumashi hawatampenda Rais JPM hata kidogo ila kwa Sisi ambao ni Wazalendo wa kweli, Wapambanaji na tunaridhika kwa kile tukipatacho kutokana na juhudi zetu za halali kabisa wala hatuna tatizo na Rais JPM na ndiyo Kwanza tunamuona kwamba ni ' Mkombozi ' wetu na ipo siku atatuvusha Kimaendeleo kutoka hapa tulipo sasa.
61146726a0715f59090a815df93fccd0.jpg
 
Duniani nawaogopa sana matajiri na wanasiasa kwani they have a power to power a power
 
Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.
Sema bavicha sio watu tafadhali. Vinginevyo tukutane 2020 kwenye sanduku la kura. Zungusha tena mikono na kudeki barabara kwa mara nyingine.
 
Ujue ujinga ni kujiaminisha tupo kwenye kipindi cha mpito so mambo yawe magumu. Ila vipindi vya mpito havifanyi mambo yawe magumu Ila mabadiliko ya kisera na mentality huwa inatokea ..Ila sisi Tanzania tupo bado kwenye zama za ujinga na umasikini.
 
Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Kiri kwanza kwamba ulimchagua wewe si sisi....je unaikumbuka hii timu ya Angela, Kigwangwala, Makamba na Mwigulu wakati wa uchaguzi? Wote kwa sasa ni Mawaziri.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Ni kwamba watu wanaonesha hisia zao za kweli na si za kupika. Wengi walijua hana uwezo, sifa wala weledi.
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je na yeye hakuwa miongoni mwa walioifikisha nchi pabaya?
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je una hakika yeye haukuwa miongoni mwa waliotuibia? Je hakuwa sehemu ya waliowezesha uwepo wa wafanay kazi hewa?
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Je na yeye hakuwa mojawapo wa hao watendaji wabovu ambao hawakuzingatia maadili?
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.
Yaani huoni unafiki wake, ubabe wake, utawala wa kiimla usiozingatia sheria, udikteta uchwara, uanzishaji wa kitengo cha wasiojulikana, utekaji, uteswaji na upoteaji wa wananchi...je, wewe unapenda kuona utawala wa namna hiyo ukiendelea? Huwezi kupanda mbaazi ukavuna nyanya.
 
Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.
Tazama kwa macho mawili mkuu ,
Hata yeye anawachukia pia tena zaidi ya mnavyomchukia anawachukia kwasababu hamtawaliki
 
Asante BAK video zinaongea zaidi. Hawa wanaomtetea mkuu wa nchi ndiyo ukilaza wenyew au uchumia tumbo!

Hakuna Rais asiyejitambua kama huyu! Mwongo, mnafiki, anajikweza, mbaguzi, akili ndogo, mroho wa madaraka, mnyanyasaji na mlimbukeni mkubwa Africa na dunia nzima!

Niishie apo nicje tukana!
 
Shukrani sana Mkuu. Mambo anayofanya huyu pale Ikulu ni kuendelea kuipaka najisi Ikulu yetu kama kulivyofanywa na waliomtangulia mafisadi Mkapa na Kikwete.

Asante BAK video zinaongea zaidi. Hawa wanaomtetea mkuu wa nchi ndiyo ukilaza wenyew au uchumia tumbo!

Hakuna Rais asiyejitambua kama huyu! Mwongo, mnafiki, anajikweza, mbaguzi, akili ndogo, mroho wa madaraka, mnyanyasaji na mlimbukeni mkubwa Africa na dunia nzima!

Niishie apo nicje tukana!
 
Shukrani sana Mkuu. Mambo anayofanya huyu pale Ikulu ni kuendelea kuipaka najisi Ikulu yetu kama kulivyofanywa na waliomtangulia mafisadi Mkapa na Kikwete.

Haswaaaaaaaa mkuu. Cha kushangaza kuna Watanzania wahuni wanasapoti upumbavu huu. Hii nchi siyo ya baba yao.

Ipo cku yatawatokea puani lkn, acha tuone!
 
1. Magufuli ana kiburi. Rais yeyote anayesema hapangiwi na kachukua fomu yeye mwenyewe anajionyesha ana kiburi. Watanzania wanaojielewa hawapendi kiburi.

Rais anapangiwa.Anapangiwa na wapiga kura wake, anapangiwa na chama chake,anapangiwa na sheria,anapangiwa na misingi ya haki,anapangiwa na jamii ya kimataifa.

Anapangiwa na wafanyakazi wa ikulunini cha kuvaa, nini cha kula, wapi aende, muda gani, aongee na nani,nani asiongee naye etc.

Kama mtu hataki kupangiwa, huyo hafai kuwa rais.

2. Magufuli hana breki ya mdomo.Kaita mawaziri aliowateua yeye mwenyewe wapumbavu. Rais anataiwa awe na kiasi na breki ya mdomo. Maneno mengine abakize kusemezana na wenzake kwenye mikutano ya ndani.

3. Kutoka 2 hapo juu, Magufuli hafikirii anachosema, anajisemea tu. Rais anayewaita mawaziri wake wapumbavu anatuambia yeye nimpumbavu zaidi, maana yeye ndiye aliyewachagua hao maras kuwa wapumbavu.

4. Kwa kuwa ana kiburi, hasikilizi ushauri wa wataalam. Lawrence Mafuru wa Hazina alimshauri vizuri kuhusu ubaya wa kubana sana mzungukowa fedha bila kuangalia economic metrics. Magufuli alimjibu kwa kumuondoa kazini. Sasa hivi tunaona alichotahadharisha Mafuru kinatokea, mzunguko wa fedha umedhoofika.

5. Magufuli haeleweki, siku moja atakwambia yeye ni rais wa wanyonge, siku nyingine serikali yake itavunjia nyumba wanyonge wenye amri ya mahakamakuzuia hilo.

6. Magufuli kaminya uhuru wa habari.

7. Magufuli kaminya uhuru wa kisiasa.

8. Magufuli anapenda majibu rahisi na ya harakakwa maswali magumi.

9. Magufuli hulka yake ya kupenda majibu ya mkato imemfanya aliingize taifa katika madeni kibao.

10. Magufuli ana roho mbaya, hapendi kupandisha watu mishahara, anafukuza watu kazi kama mbwa, haheshimu due process.

Sababu ni nyingi sana, leo niishie hapatu.
All
 
Mama yetu ni mmoja Tanzania

Jamhuri September 26, 2017 Mama yetu ni mmoja Tanzania2017-09-26T10:14:51+00:00 Makala

Ndugu Rais na wana wote wa nchi hii mama yetu ni mmoja tu, naye ni mama Tanzania. Nchi yangu kwanza, umoja na mshikamano katika mama huyu ndiyo mwamba wetu. Maandiko yanasema mwenye busara na hekima akitaka kujenga nyumba, hujenga nyumba yake juu ya mwamba ili hata mvua na upepo zikivuma, nyumba haitetereki.
Bali amekosa busara na hekima mtu yule ambaye atajenga nyumba yake juu ya mchanga, kwa maana utakapopiga upepo wa kusi na kisha ule wa kaskazi ukaipiga nyumba ile katika pande zake zote nne, nyumba yake haitasimama sababu ameijenga juu ya mchanga. Ndugu Rais nchi yetu Tanzania ndiyo mama yetu wote.

Hakuna aliyechagua mwenyewe kuzaliwa katika nchi hii. Wote tupo hapa kwa utashi tu wa yeye aliye juu, naye ndiye alituumbia katika nchi hii kwa usawa na utimilifu. Hakuna aliye bora kuliko wengine na kwasababu hiyo, baba mwema, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alitulea katika sala kuwa, ‘Binadamu wote ni sawa!’
Wanaonichoma mkuki moyoni ni wale ambao bado wanaimba kama kasuku kuwa nchi yetu ni kisiwa cha Amani. Tanzania ya kisiwa cha amani ilikwisha kwenda.

Imebaki tu katika kumbukumbu ziletazo majonzi. Upo utulivu ambao nao unaning’inia katika uzi mwembamba, baadhi ya waheshimiwa wameapa hawatikiswi huku wakitikisika hovyo kama utete dhaifu.
Baba, kama kukubali ushauri ni kuyumbishwa ikikupendeza, na iwe hivyo, lakini kama kuna ukweli ambao umejidhihirisha kwangu katika umri huu nilionao, ni ule usemao ‘hasira, hasara’. Hasira ni ulevi! Ni kama uchochezi kutaka kuthibitisha kwa kupima mkojo ni kutaka kuthibitisha upunguani alionao mpimaji.

Ndugu Rais tunaelekea 2020, mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa mazingira ambayo tumejitengenezea wenyewe, yale ya bahati mbaya (kama yapo) ambayo yangetokea wakati wa uchaguzi mkuu huo, yataanza mwaka 2019 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mwaka huo, wote waliofungiwa, zuiliwa, katazwa au nyimwa haki yao yakufanya demokrasia, kamba zilizotumika kuwafungia zitajifungua zenyewe, siyo kwa matakwa ya waliozuia bali ni fursa itakayokuwa imejitokeza kulingana na katiba ya nchi.

Wale wanaodhani walikuwa wamenyimwa sauti sasa watataka waseme tena waseme zaidi. Ya kusema watakuwa nayo mengi kwasababu labda bila kujitambua kuzuiliwa kwao tena kwa muda mrefu kuliwapa fursa ya kuyakusanya mengi.
Wakuwasikiliza watakuwa wengi zaidi pia kwasababu nao watakuwa ‘wamewamiss’ kwa muda mrefu. Waliokuwa na fursa ya kusema siku zote wasijeshangaa kukosa wakuwasikiliza kwa maana watakuwa wamekwisha kuyasikia yao yote.
Na wakuchokwa watakuwa tayari wamekwisha chokwa! Watu hupenda nyimbo mpya bwana, ndugu Rais baadhi ya wenzetu wameanza kufilisika.

Wanayashikilia yale ambayo Baba wa Taifa aliyaita ya kijingajinga, kama vile ukabila, ukanda, udini, uchama na vitu kama hivyo. Ieleweke kuwa mama Tanzania ndiye anayetuunganisha sisi wote, nchi haijengwi na mtu mmoja wala na kikundi fulani.
Hujengwa kwa umoja na mshikamano wa wananchi katika ujumla wao. Bila kuwa wamoja haya unayoyaifanyia nchi hii hata kama yangekuwa ni ya kushangaza sawa na kuing’oa milima, baada ya wewe kupita nayo yatapita kama moshi upitavyo baada ya moto kuzimwa.

Kuna watu umewakalia kooni wanaona siku haziendi, wasiokupongeza au kukusifia wala usiwalaumu kwasababu hilo ni jambo la hiari, lakini wao kukiri kuwa ufanyayo ni mema na makubwa ni lazima kwasababu kwa kufanya hivyo tu ndiyo watakuwa wanajionyesha kuwa na wao ni timamu!
Ndugu Rais, kuna wenzetu ambao hawaishi hapa kwetu akiwamo dada Tausi Likokola, mwanamitindo anayefanyia shughuli zake Marekani.

Simfahamu lakini tumeambiwa ni Mtanzania ambaye amewahi kushiriki maonyesho makubwa ya mavazi duniani kama vile yale ya Gucci, Escada, Tomy Hilfiger na Christian Dior? Amesema, “Nilikuwa Tanzania wakati aliyekuwa waziri wa Habari, utamaduni na michezo Nape Nnauye
aliposhurutishwa kurudi ndani ya gari wakati akijaribu kuzungumza na waandishi wa habari. Tukio hilo lilikuwa baya zaidi niliposhuhudia akionyeshwa bastola. Ni nini hiki kinachotokea kwa Tanzania yangu? Amani imeenda wapi?”

Akaendelea, “Nadhani uelekeo wetu si mzuri. Yako mengi ninayoweza kueleza ambayo yamenisukuma kutoa msimamo wangu huu. Tanzania inahitaji shule bora, huduma bora za afya na miundombinu. Dunia inaona
kinachoendelea, tusiende huko!”
Alinikumbusha nguvu ya uwaziri wa Mambo ya Ndani aliyokuwa nayo Augustino Lyatonga Mrema. Aliposema siku saba, zilikuwa siku saba. Aliposema watuhumiwa wamfuate kwa wazazi wake kule Kiraracha, walimfuata. Tulilala huku madirisha yetu yakiwa wazi maana amani ilitapakaa! Huyu wa sasa aliagiza mtu yule akamatwe.

Sijui huu ni mwezi wa ngapi toka atoe agizo hilo! Na sijui kama yeye mwenyewe anakumbuka kuwa alitoa agizo la kukamatwa mtu yule? Agizo la mheshimiwa likipuuzwa wananchi watamheshimuje? Wananchi wanapotupuuza nakutuona ni wa burebure, tusikimbilie kuwalaumu! Tujiulize, ni kwa kiasi gani sisi tumeziheshimu kauli zetu?

Tausi alisema, “Natambua kazi inayofanywa na serikali ya kusafisha rushwa na kuwapa Watanzania maisha bora, lakini maisha ya Watanzania hayawezi kuwa bora kama watu hawatapewa uhuru wa kujieleza!”
Anasema alisikitishwa sana na kitendo cha Mwanasheria Fatma Karume kuzuiwa kuzungumza na waandishi wa habari.
Akaona kwa mshangao magereza kutumika kuwatisha watu badala ya kuwahifadhi wafungwa! Ndugu Rais mabaya tunayoyaona yakitokea kwa wenzetu kila uchaguzi mkuu unapojiri tuyatumie kujifunza na kukiri kuwa sisi hatuko kisiwani!
Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa Mwaka 2007 ulifuatiwa na vurugu za kumwaga damu zilizowaacha mamia wakiwa wamepoteza maisha yao huku maelfu wakiachwa bila makazi.

Uchaguzi mkuu wa 2017 unafanyika leo, huku Christopher au kama alivyozoeleka kuitwa Chris Msando wa IEBC, (Independent Electoral and Boundaries Commission) tukiwa hatunaye hapa duniani.
Ripoti ya kitabibu inathibitisha kuwa Chris Msando alikufa kwa kunyongwa! Uchaguzi umemtoa roho! Hata kwa wale tunaowadhania kuwa wameendelea, udhalimu huu ungalipo! Tumeona uchaguzi mkuu wa Marekani ukimwacha aliyekuwa Mkurugenzi wa FBI, James Comey akifutwa kazi na Rais wa nchi hiyo Donald Trumph. Ndugu Rais sisi ni watoto wa mama mmoja tusifike huko!

PASCHALLY MAYEGA
SIMU: 0713334239


Haswaaaaaaaa mkuu. Cha kushangaza kuna Watanzania wahuni wanasapoti upumbavu huu. Hii nchi siyo ya baba yao.

Ipo cku yatawatokea puani lkn, acha tuone!
 
Najua tulipiga kura na tukamchagua Mh Rais John PombeMagufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha miaka 5.
Lakini kila siku zinavyokwenda hali inazidi kubadilika ukipita vijiweni watu wanaongea na kumlaumu Mh Rais!
Nashindwa kuelewa hali hii inatokana na nini??ukilinganisha hii nchi ilipokuwa imefika hakuna njia iliyokuwa imebaki zaidi ya kumpata mtu ka Mh Rais Magufuli! Ajabu leo watu wanalaumu sana sasa sijui kwanini wanalaumu kwakuwa yote anayafanya ni mema!
Je nikweli mnaolaumu mlikuwa mnafurahi kuona tunaibiwa madini yetu??je mlitaka kuendelea kuwepo wafanyakazi hewa??
Je mlilidhika na utendaji mbavu usiozingatia maadili?
Najua kwa haya nikama kutia mafuta katika moto!
Hila ukweli nikwamba raia wanamchukia Rais wangu nikiangalia sioni sababu! hivyo mengi anayafanya na anaendelea kuyafanya.

Usiseme kwani watu hampendi bali sema kwanini haumpendi Magufuli....
 
Unapochaguliwa kuwa kiongozi halafu ukathubutu kusimama mbele za watu na kusema.."mimi akinipenda mke wangu inatosha"..kwakweli ni dharau na kiburi cha hali ya juu!
 
Back
Top Bottom