Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Kwanini Akina Hamza Mwapachu, Ally Sykes, Paul Rupia, Dr. Lucian Tsere, Dr. Vedast Kyaruzi na Stphen Mhando hawatajwi sana kwenye Historia ya TAA na TANU?
Wana historia wa Tanzania kuna makala nimeisoma na kuona Jinsi Watu hao walivyokuwa mstari wa mbele katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika.
Harakati zao Ndio zilipelekea kuanzisha TAA na kisha TANU. Swali langu je, kwanini Watu hawa Hawapewi Heshima Kubwa ya kuwa Waanzishi wa harakati za kudai Uhuru hata kabla ya BABA wa Taifa?
Wana historia wa Tanzania kuna makala nimeisoma na kuona Jinsi Watu hao walivyokuwa mstari wa mbele katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika.
Harakati zao Ndio zilipelekea kuanzisha TAA na kisha TANU. Swali langu je, kwanini Watu hawa Hawapewi Heshima Kubwa ya kuwa Waanzishi wa harakati za kudai Uhuru hata kabla ya BABA wa Taifa?