Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Nimeona familia nyingi, mshua kama hana pesa anakuwa na maisha magumu sana uzeeni kwa sababu mara nyingi watoto wanapitisha fedha kwa mama.
Pia wanaume sio wepesi sana kuomba fedha kwa watoto , wengine wanasema hii inaweza kuwa sababu wanaume wengi kufa haraka.
Wale vijana, hakikisheni mnaoa wanawake ambao watawajali uzeeni au tafuteni miradi ambayo itawapa pesa uzeeni .
Mnasomesha watoto, lakini link za watoto zipo kwa mama.
Pia wanaume sio wepesi sana kuomba fedha kwa watoto , wengine wanasema hii inaweza kuwa sababu wanaume wengi kufa haraka.
Wale vijana, hakikisheni mnaoa wanawake ambao watawajali uzeeni au tafuteni miradi ambayo itawapa pesa uzeeni .
Mnasomesha watoto, lakini link za watoto zipo kwa mama.