Kwanini watoto wanawatunza mama zao kuliko baba zao?

Nadhani
1. Hakikisha wana mahitaji ya muhimu wote (Nyuo, malazi, usafiri ,nyumba nzuri, etc)

2. Tambua mahitaji yao binafsi, ni vyema kumpa baba fedha ili heshima yale iendelee, labda kama ji mlevi sana.

3. Hakikisha ukituma fedha unawapigia simu wote,.

4. Ikiwezekana tumia njia ya kutuma vitu badala ya fedha, wasije kosana uzeeni na kuachana
Sisi wote tunao changia mada umu ni watoto je tunawatunza baba zetu Kama mama zetu? Kama Sio wote tukubaliane tukitoka umu tuanze kutoa 50% 50% kwa baba na mama naiman tukiweza baada ya miaka Mia itakua dunia mzima infanya lakin tukiwa na sisi Kama watoto tunakuja jamiforums kutoa Uzi alafu tukitoka tu tunakimbilia kwa Mama zetu, Yan wengine umu kuongea na baba zao ni mpaka awe anaongea na mama yake akisha maliza zile dakika mbili zilizo Baki ndio utasikia Mama Kama upo na baba Apo mpe nimsalimie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KENZY
Kumbuka mtoto ‘anayetuma’ hela ama kutunza wazazi sio mtoto tena, ni mkubwa sasa na huenda anao watoto tayari... anapoyafanya hayo yeye anajiona wapo akizeeka.?

Ninachojifunza hapa ni tujiandae kujitunza wenyewe, tulee na kuwaandaa watoto wakajitegemee ila sio kwa ‘all out’ phenomena... tuzingatie kuwa panapo uzima tutazeeka hivyo tuwe na akiba yetu kwa ajili ya uzeeni.

Nature inatutinga kujenga hiyo so called bond, mishe nyingi za hapa na pale ndo kipatikane chochote kitu... and ofkozi vichapo na mateso kwa wake zetu husimuliwa watoto na kujenga chuki.

Watoto wetu huwa wanaona. Watoto huwa wana akili sana sema tuna wa underestimate mtoto anajua kabisa baba anamtesa mama au vice versa sema wengi huwa hawana ujasiri wa kusema. So sio mara zote mama anawaambia huwa wanaona na kusikia.
Mimi nishakutana na msichana ambae aliona baba yake akinyanyswa na mama yule msichana alikuwa anasema nasoma nije nimtunze baba yangu na kweli alisoma na she is very successful now na kweli wanamtunza sana baba yao ila bahati mbaya mama yao alifariki kabla hata hajamaliza chuo ila huyu dada kifo cha mama yake hakikumuumizq kabisa alisema afadhali baba angu atapumzika.
So msilaumu kina mama kuwa wanajaza chuki watoto bali watoto wanaona wenyewe.
 
Tangu nmeanza kufanya kaz nimemtumia pesa nyingi sana baba yangu kuliko mama yangu, tangu nikiwa mdogo nilikua ninaupendo sana na baba yangu kwasabab alinijal sana na alianza kuniambia maneno mazito ambayo yalinikomaza, mitihan ya maisha yake aliyo yapitia yananifanya niamin baba yangu hana ndugu zaid yangu

Sent using Gun Trigger
 
Dah! Basi kwa namna hiyo ni ngumu sana mdingi kuwa na bond kama aliyonayo mama kwa watoto kwasabu ni lazima atokee mzazi mmoja mwenye msimamo kuweka sawa misingi kwa watoto na hapa ndipo wamama wanapochukua points za bure kwa watoto kwasabu mdingi ndo utaachiwa upambane na mwisho kuonekama kama gaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi kwangu ilikuwa tofauti maana mimi ndio nilikuwa natembeza kipondo baba yao alikuwa anaongea nao tu. Na baba yao tulikubaliana mimi ndio niwe natembeza kipondo Coz yeye alikuwa anasafiri sana sasa hakutaka atoke safari aanze kuchapa watoto watamchukia so alikuwa akitoka safari ata spend muda wake wote na familia yake. Leo wamekuwa wakubwa wako very close na baba yao na wanaweza ongea hata one hour.
So mara nyingi ni kina baba wenyewe ndio wana determine maisha yao ya uzeeni
 
1. Wazazi wa kiume kutelekeza watoto wao, kutojali kama wanavyojali wazazi wa kike, watoto wakikua kibao kinageuka

2. Wazazi wa kike kuwajaza ujinga watoto wao wa kiume kuwa baba zao sio watu wazuri

3. Wazazi wa kiume kuwa na uwezo kuliko wazazi wa kike. Unakuta baba ana mkwanja kuliko mama, hivyo mtoto anaona haina haja ya kuchota maji kisimani kupeleka baharini, badala ya kupeleka maji kwenye vyombo vya maji ndani
 
Changamoto kubwa niliyo jifunza kwa wazee wengi ni:-
1- Wakati wa ujana, ningumu sana kumtambua kama mke atatutunza uzeeni.
Pia sisi wanaume tumekuwa tukiwatesa sana na kuwajeruhi wake zetu kipindi cha ujana wetu hali ambayo hupelekea mke kuishi na majeraha huku akipoteza upendo kwa mume na kuishi kwenye ndoa kwaajili ya watoto (huwa wanasema kwamba, nasubiri wanangu wakuwe). Hivyo basi wamama wengi huishi na kuzeeka kwenye ndoa wakiwa wamekufa mioyo.

Alafu wababa ni ngumu kuwaeleza watoto matatizo ya mama zao, lakini kinyume chake hili ni tatizo kubwa kwa wamama kiwaeleza mambo wananyo yapitia pamoja na changamoto za baba zao. Hii hali ya kuwaeleza negativity watoto hujijrnga akilini mwao na hivyo watoto huanza kujaa sumu na chuki kwa baba zao.

2- Pia nijukumu la baba kuandaa maisha yake na mkewe pindi watakapo zeeka.
Hapa wazazi tunasahau na kusema eti tunawekeza kwa kuwasomesha watoto, lakini tunasahau kwamba hawa watoto hawakuomba tuwazae, na bali tuliwazaa kwa starehe zetu. Hivyo basi, kumsomesha mtoto ni jambo la lazima ili kumuandalia maisha yake.
Wakina mama daima hufanya uchochezi wa kisirisiri dhidi ya baba. Pili kwa kuwa watoto hasa wa kiume wanakuwa wametenda dhambi ya kutomjali baba yao naye laana hiyo humtafuna huvyo wanawe nao hukataa kumsaidia kama yeye ambavyo hakumsaidia babake hivyo trend/cycle huendelea.
 
Tangu nmeanza kufanya kaz nimemtumia pesa nyingi sana baba yangu kuliko mama yangu, tangu nikiwa mdogo nilikua ninaupendo sana na baba yangu kwasabab alinijal sana na alianza kuniambia maneno mazito ambayo yalinikomaza, mitihan ya maisha yake aliyo yapitia yananifanya niamin baba yangu hana ndugu zaid yangu

Sent using Gun Trigger

Mimi mwenyewe niko very close na baba yangu na sasa hivi ni mzee sana. Maana toka udogo wangu baba yangu alijali sana familia yake. Watoto wake wote wa kike alikuwa anatuita mama kwa kweli sasa hivi anatunzwa vizuri si na watoto tu hata wajukuu zake. So kina baba wao wenyewe ndio wana determines maisha yao ya uzeeni.
Kutafuta pesa pekee isiwe kigezo .
Kuna jirani yangu mbaba mzee alikufa yule baba mpk Son in laws wake walilia kwa kweli alikuwa baba mwenye kujiheshimu na alikuwa kiongozi mzuri sana wa familia yake.
Bado wanaume wanaweza rekebisha na kuishi maisha ya furaha uzeeni.
 
Wakina mama daima hufanya uchochezi wa kisirisiri dhidi ya baba. Pili kwa kuwa watoto hasa wa kiume wanakuwa wametenda dhambi ya kutomjali baba yao naye laana hiyo humtafuna huvyo wanawe nao hukataa kumsaidia kama yeye ambavyo hakumsaidia babake hivyo trend/cycle huendelea.

Watoto huwa wanaona jaribu kufanya uchunguzi watoto wanaona mengi sana sema huwa hawasemi. Huwa hamuwapi watoto muda wa kujieleza Ila wanaona sio lazima mama aseme.
Kuna kina mamma wawalisha sumu watoto lakini kama baba ni mzuri watoto huwa bado watasimama na baba yao.
 
Mimi mwenyewe niko very close na baba yangu na sasa hivi ni mzee sana. Maana toka udogo wangu baba yangu alijali sana familia yake. Watoto wake wote wa kike alikuwa anatuita mama kwa kweli sasa hivi anatunzwa vizuri si na watoto tu hata wajukuu zake. So kina baba wao wenyewe ndio wana determines maisha yao ya uzeeni.
Kutafuta pesa pekee isiwe kigezo .
Kuna jirani yangu mbaba mzee alikufa yule baba mpk Son in laws wake walilia kwa kweli alikuwa baba mwenye kujiheshimu na alikuwa kiongozi mzuri sana wa familia yake.
Bado wanaume wanaweza rekebisha na kuishi maisha ya furaha uzeeni.
Nampenda sana baba yangu ila Kuna maneno alinipa
Yale maneno ndo yalifanya nijaribu tena kurudisha upendo kwa mama ikawa 50% 50%, lakn bad nawasiliana sana na baba Mara nyng kuliko mama japokua wote nawapenda sana, na nipo tayar nilale njaa kwaajili yao, ikifikia hatua wao wamelala njaa bas mm niwe nimelala njaa mara mbili zaid yao

Sent using Gun Trigger
 
MKUU MWANAUME anapopata mtoto wa KIUME,,,hujisikia furaha na kuona KAPATA RAFIKI NA WA KWELI KTK MAISHA..lakini ukweli ni kwamba,,,mtoto wa KIUME ni rafiki wa BABA,, lakini MAPENZI yake yapo kwa mama yake..na hata MWANAMKE anapopata mtoto wa KIKE hujisikia raha kwa kuona kapata RAFIKI na kapata MSIRI WAKE.lakini elewa MAPENZI ya mtoto wa kike yapo kwa BABA,,, hivyo basi MTOTO wa KIUME akimpa baba yake 10000,,,elewa mama kapewa zaidi ya hyo pembeni..na mtoto wa kike akimpa mama 10000 elewa kampa BABA pembeni zaidi ya hiyo...na elewa kuwa mtoto wa kike kwa mama ni rafiki na msiri pia,,,anaweza akajuwa bwana wake wa pembeni ,na mama akajuwa boyfriend wa mwanawe na ikawa siri yao,,,na hata mtoto wa kiume anaweza akajuwa mambo ya baba yake na ikawa siri yao na baba yake..lakini MAPENZI yapo kwa mama,,,hyo ndy NATURAL MKUU..proved 100%..mtoto wa KIUME huwa na FIKIRA kuwa akimpa baba PESA nyingi atatafuta wanawake wengine pembeni,,,halafu atasababisha USUMBUFU KWA MAMA YAKE...lakini pia MTOTO wa kike haangalii hayo,,,yeye humpa baba kingi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwangu ilikuwa tofauti maana mimi ndio nilikuwa natembeza kipondo baba yao alikuwa anaongea nao tu. Na baba yao tulikubaliana mimi ndio niwe natembeza kipondo Coz yeye alikuwa anasafiri sana sasa hakutaka atoke safari aanze kuchapa watoto watamchukia so alikuwa akitoka safari ata spend muda wake wote na familia yake. Leo wamekuwa wakubwa wako very close na baba yao na wanaweza ongea hata one hour.
So mara nyingi ni kina baba wenyewe ndio wana determine maisha yao ya uzeeni
Safi sana mkuu, ila naona bond ya baba na binti huwa inakuaga kali sana. Binafsi najitahidi sana kubalansi kati ya kuwaweka karibu na kuwa mkali inapobidi maana naona kama mama yao anawadekeza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom