Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,268
- 40,052
Imekuwa ni desturi kwa watu walio wengi, hasa kwa wanaume waliozaa nje ya ndoa, kutokuwaweka katika listi watoto waliozaa nje ya ndoa.
Kama wataulizwa mbele za watu; wana watoto wangapi? Watajibu kwa kuwataja wale tu, aliowazaa ndani ya ndoa. Na wale aliowazaa nje, hatowataja.
Iwapo, wale watoto waliozaliwa nje ya ndoa, watakuwa na mafanikio makubwa; wababa ndio wanakuwa wa kwanza kujinadi kwa kusema, yule ni mtoto wangu.
Sasa nauliza swali; Kwa nini watoto waliozaliwa nje ya ndoa, huwa hawatajwi na baba zao?
Kama wataulizwa mbele za watu; wana watoto wangapi? Watajibu kwa kuwataja wale tu, aliowazaa ndani ya ndoa. Na wale aliowazaa nje, hatowataja.
Iwapo, wale watoto waliozaliwa nje ya ndoa, watakuwa na mafanikio makubwa; wababa ndio wanakuwa wa kwanza kujinadi kwa kusema, yule ni mtoto wangu.
Sasa nauliza swali; Kwa nini watoto waliozaliwa nje ya ndoa, huwa hawatajwi na baba zao?