Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,125
- 4,163
Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki.
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?
Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro.
Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki?
Huyu mama Suzan Kaganda ndio atatenda haki?
Malalamiko kwa Sirro ni mengi juu ya kutetea uovu wa askari. Wanasiasa, wakulima na hata wananachi wa kawaida wanalalamika mitaani. Je, ni kweli hafai?