witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,089
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, mimecheka sanakuendekeza uzembe, wengi tumezaliwa huku Kamachumu hata kiswahili shida ila tunaongea fasaha, sasa mulamula anaongea sijui kihaya, kiswahiliaama kingereza.
kuitawala Tz raisi sana. kenyatta alimwambia nyerere. alichokifanya mulamula ni dharau/ignorance kwa wananchi. sasa utaelewa nini paleTangu kuteuliwa na CV yake nilikuwa very impressed.,
Ila juzi akisoma Bajeti ya Wizara yake nilikua very dissapointed..was like WTF is this.!!i was in shock kusikia ile Bajeti.,
Namba zinasumbua kusoma si useme Billion 3.567, kuna haja gani kupresent kwa umma vitu visivyoeleweka?
i hope atarekebisha.,haikuwa nzuri kwa kweli
Wahaya hawana hWasukuma hawana R
Wakurya hawana L
"Mulamula" hilo jina tu mngejua maana yake kwa kinyarwanda msingeongea.kuitawala Tz raisi sana. kenyatta alimwambia nyerere. alichokifanya mulamula ni dharau/ignorance kwa wananchi. sasa utaelewa nini pale"
nini maana yake mkuu"Mulamula" hilo jina tu mngejua maana yake kwa kinyarwanda msingeongea.