Kwanini Watanzania wengi wanashindwa kutofautisha R na L kwenye kuandika Kiswahili na si Kiingereza?

Tangu kuteuliwa na CV yake nilikuwa very impressed.,
Ila juzi akisoma Bajeti ya Wizara yake nilikua very dissapointed..was like WTF is this.!!i was in shock kusikia ile Bajeti.,

Namba zinasumbua kusoma si useme Billion 3.567, kuna haja gani kupresent kwa umma vitu visivyoeleweka?

i hope atarekebisha.,haikuwa nzuri kwa kweli
kuitawala Tz raisi sana. kenyatta alimwambia nyerere. alichokifanya mulamula ni dharau/ignorance kwa wananchi. sasa utaelewa nini pale
 
Mimi shidayangu kuitamka r na l kwenye english mtihaniiiii
 
kuitawala Tz raisi sana. kenyatta alimwambia nyerere. alichokifanya mulamula ni dharau/ignorance kwa wananchi. sasa utaelewa nini pale"
"Mulamula" hilo jina tu mngejua maana yake kwa kinyarwanda msingeongea.
 
Hili tatizo limekuwa kubwa sana kwenye vibao vya anwani za makazi.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom