Kwanini Watanzania wengi wanapenda sana kudanganywa ama kujidanganya!?

Kwanza soma nilichoandika. Pili, kazi yako na familia yako itaboresha elimu kwa wote? Au itajenga barabara zitakazopunguza foleni na kurahisisha usafirishaji wa bidhaa kwa mfanyabiashara? Kujidanganya ni kufikiri umeyapatia maisha wakati ukigundulika una kansa kesho kila ulichofanyia kazi kinapukutika na wanao unawaachia umasikini ambao hata wazazi wako hawakukuachia.

Boss Hey Maendeleo huletwa na Mtu au Watu, Maendeleo hayaletwi na Serikali, acheni kujidanganya. Yawe Maendeleo ya Elimu, Maendeleo ya Afya ya Jamii, Maendeleo yoyote yale. Mimi na Wewe ndio tutakayoleta. Mimi siongelei nje ya hapo.

Simple, kwanini Serikali zote Tanzania na Dunia, zinawahimiza Raia wake, kufanya kazi??? !!! Kama hayo Maendeleo yanaletwa na Serikali, Si wangekaa kimya ??? !!!

Watu wengi wana mind set mbaya, wasema na kufikiri Serikali ndio inayoleta Maendeleo, Dat wrong, Maendeleo huletwa na Watu .
 
Boss nkese Hapana. Miundo mbinu ninayosemea Ni yale mahitaji Muhimu nayo Ni Maji Safi na Salama, Hospitali na Zahanati zenye huduma Bora na mengineyo.
Sasa kama serikali haijatatua tatizo la msingi kwa raia wake la "miundo mbinu" uliyoitaja,ni busara kung'ang'ania kununua ndege kwa mbwembwe na kuacha "taifa"la kesho na hali hii?
 

Attachments

  • SHULE 1.jpg
    SHULE 1.jpg
    71.7 KB · Views: 1
Boss Hey Maendeleo huletwa na Mtu au Watu, Maendeleo hayaletwi na Serikali, acheni kujidanganya. Yawe Maendeleo ya Elimu, Maendeleo ya Afya ya Jamii, Maendeleo yoyote yale. Mimi na Wewe ndio tutakayoleta. Mimi siongelei nje ya hapo.

Simple, kwanini Serikali zote Tanzania na Dunia, zinawahimiza Raia wake, kufanya kazi??? !!! Kama hayo Maendeleo yanaletwa na Serikali, Si wangekaa kimya ??? !!!

Watu wengi wana mind set mbaya, wasema na kufikiri Serikali ndio inayoleta Maendeleo, Dat wrong, Maendeleo huletwa na Watu .

Unachosema sio kwamba kina makosa, lakini kina mapungufu. Mimi na wewe tutaletaje maendeleo kama hatuwasiliani? Kama tuko vitani au hatuna ulinzi? Kama hatuna elimu bora? Kama ukitokea mlipuko wa ugonjwa mpya wote tunapukutika? Kama tukikwaruzana hakuna mfumo wa haki unaoweza kutuweka sawa? Kama hatuna uhakika wa chakula ukame ukitokea?
Tunamlipa kodi serikali atusaidie kuratibu na kuongoza yote yatakayutusaidia mimi na wewe kufanya tunachofanya kuleta maendeleo. Kinyume na hapo wewe utachoma moto misitu uuze mkaa ili uendeleze familia yako na mimi nitakuuzia nyama ya kuku aliyekufa na mafua ili niendeleze yangu.
 
Boss nkese Maendeleo yataletwa na Watu na sio Serikali, Serikali haileti maendeleo. Kama unaona na unasema Serikali haifanyi majukumu yake, hilo ni Kosa lake. Sipo hapa kuijibia Serikali, sipo hapa kuisemea Serikali. Kwanini basi bdao unaendelea kuichagua??? !!!

Sasa kama serikali haijatatua tatizo la msingi kwa raia wake la "miundo mbinu" uliyoitaja,ni busara kung'ang'ania kununua ndege kwa mbwembwe na kuacha "taifa"la kesho na hali hii?
 
Boss Hey Kama ushajua tatizo lipo wapi, Mbona hatutatui??? !!! 2020 hii hapa, Mambo yatakuwa as usual. Nimekuelewa Hoja yako, mimi na wewe na wao (mwananchi) ni kuwa tu hatujui nguvu yetu. Wao wenyewe wanajua, nguvu zetu.


Unachosema sio kwamba kina makosa, lakini kina mapungufu. Mimi na wewe tutaletaje maendeleo kama hatuwasiliani? Kama tuko vitani au hatuna ulinzi? Kama hatuna elimu bora? Kama ukitokea mlipuko wa ugonjwa mpya wote tunapukutika? Kama tukikwaruzana hakuna mfumo wa haki unaoweza kutuweka sawa? Kama hatuna uhakika wa chakula ukame ukitokea?
Tunamlipa kodi serikali atusaidie kuratibu na kuongoza yote yatakayutusaidia mimi na wewe kufanya tunachofanya kuleta maendeleo. Kinyume na hapo wewe utachoma moto misitu uuze mkaa ili uendeleze familia yako na mimi nitakuuzia nyama ya kuku aliyekufa na mafua ili niendeleze yangu.
 
Boss nkese Maendeleo yataletwa na Watu na sio Serikali, Serikali haileti maendeleo. Kama unaona na unasema Serikali haifanyi majukumu yake, hilo ni Kosa lake. Sipo hapa kuijibia Serikali, sipo hapa kuisemea Serikali. Kwanini basi bdao unaendelea kuichagua??? !!!
Serikali ni nini,ni kwa ajili ya nani,na hupatikanaje na huwajibikaje?
Kuhusu kuichagua :mimi sijawahi kuichagua yeyote tangu 1990! Maana tangu nijitambue nawaona ni "waigizaji" tu,matapeli na wahuni ktk suti.
Maendeleo hayaletwi na serikali kama ulivyosema (ni sahihi) lakini kama tuna wawakilishi (wabunge) na hawasikilizwi na serikali inayoamua kujifanyia inavyotaka(kupeleka miradi ya maendeleo) kwa kuzingatia itikadi,upendeleo:hakuna sababu ya kutoisema na kuishutumu kutotenda haki na kukosa uhalali wa kuongoza?kutawala?
 
Back
Top Bottom