#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Ndokeji

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
698
474
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19.

Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania.

Mapendekezo yangu

1) Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa

2) Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea

3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo

4) Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
 
... siku hizi Mataga wanatambulika kama watanzania "wengi"? Be serious ndugu; labda hayajawahi kukukuta; nenda hospitalini uone wagonjwa wa Covid wanavyoteseka utatamani chanjo ije muda huu huu! Tuwaonee huruma wazee wetu na wengine wenye matatizo ya kiafya; corona ni hatari sana kwa uhai wao! Mataga achana nao hawafagi Corona wale!
 
Hivi wabongo mkuu unawajua ama unawasikia??
Subiri chanjo iletwe hapa halafu uone msongamano kwenye kuchanjwa. Hawa watu waone hivi hivi tu ni vigeu geu hatari ni watu wa kwenda na upepo unakoenda.

Mi nna imani watanzania wengi watachanjwa, hii chanjo haitakua lazima ila itakua lazima kwa namna moja ama nyingine. Inawezekana kuna huduma utazikosa bila kua na chanjo na hivyo kukulazimu uchanjwe, sidhani kama serikali itaileta tu afu iwe hiyari kirahisi namna hiyo.

Ni kama waliposema kujisajili kwa ajili ya vitambulisho vya taifa watu walikua wajajivutavuta, wakagusa panauma kwenye laini za simu, mpaka leo nida kuna watu wanazisakama hizo namba tu mambo yao yaende.
 
Hivi wabongo mkuu unawajua ama unawasikia??
Subiri chanjo iletwe hapa halafu uone msongamano kwenye kuchanjwa. Hawa watu waone hivi hivi tu ni vigeu geu hatari ni watu wa kwenda na upepo unakoenda.

Mi nna imani watanzania wengi watachanjwa, hii chanjo haitakua lazima ila itakua lazima kwa namna moja ama nyingine. Inawezekana kuna huduma utazikosa bila kua na chanjo na hivyo kukulazimu uchanjwe, sidhani kama serikali itaileta tu afu iwe hiyari kirahisi namna hiyo.

Ni kama waliposema kujisajili kwa ajili ya vitambulisho vya taifa watu walikua wajajivutavuta, wakagusa panauma kwenye laini za simu, mpaka leo nida kuna watu wanazisakama hizo namba tu mambo yao yaende.
Kwamba itakuwa huwezi kuhudumiwa mpaka uchanjwe ama.?
 
... siku hizi Mataga wanatambulika kama watanzania "wengi"? Be serious ndugu; labda hayajawahi kukukuta; nenda hospitalini uone wagonjwa wa Covid wanavyoteseka utatamani chanjo ije muda huu huu! Tuwaonee huruma wazee wetu na wengine wenye matatizo ya kiafya; corona ni hatari sana kwa uhai wao! Mataga achana nao hawafagi Corona wale!
Kweli Kabisa Mkuu Tujaribu kuangalia uhalisia wa watalaa

Kweli kabisa Mkuu hali halisi ni mbaya sana kwa hali kuumwa huu ugonjwa ispokuwa watz wengi Tumelishwa maneno mabaya ambayo yanaleta mtazamo hasi
 
Chanjo iliyotengenezwa ndani ya mwaka mmoja, hakuna conclusive research iliyofanyika kuweza kupata final approval, hakuna data za mid- and long-term effects. Short-term effects zimeshaonekana, efficacy ipo chini lazima uchanje kila miezi 6, ni teknolojia mpya ya utengenezaji wa chanjo inayohusisha vinasaba DNA/RNA imeshaleta complications za autoimmunity kama blood clots, autoimmune thrombocytopaenia, sijui tunakimbizana kwenda wapi? au ndo presha za mabeberu hizi.....
 
Kuna watu wanapotosha ili kuogopesha watu,tusiwasikilize chanjo ni muhimu kwa wakati huu.
IMG-20210521-WA0004.jpg
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19,
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi

Hao wengi mnawahesabia Lumumba?
 
Kwamba itakuwa huwezi kuhudumiwa mpaka uchanjwe ama.?
Nimetabiri tu mkuu, sidhani kama itakua hiari to that extent. Labda tusubiri tuone itakuaje ila lazma tu kuna kanguvu katatumika kupush hiyo chanjo, kuhusu kusambaza elimu zaidi kibongo bongo ni wachache watakaoikubali hiyo elimu ndgu.
 
Baada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19,
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Walikaririshwa, wakakariri sasa wanakiimba wasichokijua...

Wengi kwa sababu ya "...ulofa na..." hawatambui wanataka nini na wanadhani Tanzania ni kubwa kuliko dunia...
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom