mapenz matam
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 214
- 254
Habari za asubuhi naomba na mimi niongezee jambo hapo kwenye usafirishaji wa mazao. Miezi miwili nyumba alikuja rafiki yangu akanipa mchongo kuwa kwa sasa majirani zetu wa Rwanda wana njaa kupita kiasi.
Basi tukaenda boarer ya Rwanda tukaulizia nini wanahtaji hakutupata ushirikiano mzuri kabisaa
jamaa ikabidi azame ndani Kigali kabisaa huko akaja na fursa kede kede kweli njaa ipo Rwanda na wanahtaji sana msosi.
Basi tukajipanga kutafta vibali jamani asikwambie mtu vibali vya kusafirisha mazaoi nje (hata hapo Rwanda) ni vingi utazani daftari la tution.
Sasa tukaamua kuwa bora tu base na boarder ya Rwanda na wao wakatupa conditions zao baada ya hapo tukatafta gari maeneo ya kahama hapo tukachukuwa mzigo tukazama Kigali jamani mzigo uliisha ndani ya saa moja tu na hapo tuliuza kwa gharama ya juu sana.
tukarudia mara nne hadi sasa tunategemea kurudia mara ya tano sasa.
Nilichojifunza katika biashara hii jamani. Ku export mazao kunahtaji uwe umejipanga kabisa na sio kukurupuka kama hapa wanasema sehemu fulani kuna soko la nyanya hapana soko lipo ila lina vigezo vyake balaa. Elewa vigezo vyote vya soko lako ndio uingie mfano sisi tulisikia Rwanda wanahitaji mihogo saana, na hata askari wa boda walisema mihogo inahtajika sana. Sasa tungekurupuka kupeleka mihogo Rwanda bila kuingia Kigali na kujua mihogo hiyo inahtajika katika hali gani mzee si tungelia jamani.
kingine nchi yetu siasa ni nyingi mnoo n uongo uongo ni mwingi sana, mfano hapa bongo wakulima wa mihogo wameaminishwa kuwa soko liko China ooh ni zuri nk wakat hapo Kigali mihogo ukiiprocess wanavyohtaji wao ni kama dhahabu. Hapo kigali viazi ni dili sana sana.
Tuweni serious na maisha jamani hakuna mafanikio ya bila kujitoa na kutoa jasho
Basi tukaenda boarer ya Rwanda tukaulizia nini wanahtaji hakutupata ushirikiano mzuri kabisaa
jamaa ikabidi azame ndani Kigali kabisaa huko akaja na fursa kede kede kweli njaa ipo Rwanda na wanahtaji sana msosi.
Basi tukajipanga kutafta vibali jamani asikwambie mtu vibali vya kusafirisha mazaoi nje (hata hapo Rwanda) ni vingi utazani daftari la tution.
Sasa tukaamua kuwa bora tu base na boarder ya Rwanda na wao wakatupa conditions zao baada ya hapo tukatafta gari maeneo ya kahama hapo tukachukuwa mzigo tukazama Kigali jamani mzigo uliisha ndani ya saa moja tu na hapo tuliuza kwa gharama ya juu sana.
tukarudia mara nne hadi sasa tunategemea kurudia mara ya tano sasa.
Nilichojifunza katika biashara hii jamani. Ku export mazao kunahtaji uwe umejipanga kabisa na sio kukurupuka kama hapa wanasema sehemu fulani kuna soko la nyanya hapana soko lipo ila lina vigezo vyake balaa. Elewa vigezo vyote vya soko lako ndio uingie mfano sisi tulisikia Rwanda wanahitaji mihogo saana, na hata askari wa boda walisema mihogo inahtajika sana. Sasa tungekurupuka kupeleka mihogo Rwanda bila kuingia Kigali na kujua mihogo hiyo inahtajika katika hali gani mzee si tungelia jamani.
kingine nchi yetu siasa ni nyingi mnoo n uongo uongo ni mwingi sana, mfano hapa bongo wakulima wa mihogo wameaminishwa kuwa soko liko China ooh ni zuri nk wakat hapo Kigali mihogo ukiiprocess wanavyohtaji wao ni kama dhahabu. Hapo kigali viazi ni dili sana sana.
Tuweni serious na maisha jamani hakuna mafanikio ya bila kujitoa na kutoa jasho