Kwanini Watanzania wengi hawajui/hawafanyi Biashara za Exportation kwenye mazao ya Kilimo?

hebu kumbuka bana utupe hapa. unasahau mabo ya msingi unakumbuka nini? lete jina hapa

Mkuu ile site inaitwa Trade Key link yake ni hiyo chini.

www.importer.tradekey.com

Ila sasa nilichogundua ni kuwa watu wengi waliojaribu kuitumia hii site wametoa review zao kuwa hii site haipo real ni scam ndio maana nilikuwa napata wasi wasi kuiweka hapa.

Nimesikia juu juu kuna watu wanatumia Alibaba pia kufanya export ndio nataka nilifanyie uchunguzi nalo nione sababu wote tunajua Alibaba wapo real.
 
Nimependa hii thread ila kama unavyo jua wa Tanzania wengi ni masikini kiuchumi ila tuna resources za kutosha mimi nikiwemo na hizi ishu ya exportation ninaiota kila siku naishia kufarijika tu napoziona hizi threads ila ni nacho kiomba ni pate master plan and full procedures on how to do this mtakua mmenisaidia sana
 
MOSI, HATUPENDI KUTAFUTA TAARIFA, KWA KIFUPI MALEZI NA TABIA ZA KIMAZOEA, TUNATAMANI KILA SIKU SERIKALI ILETE KITU, LABDA KUNGEKUWA NA KODI YA KICHWA TUNGEWAJIBIKA IPASAVYO,TUNAPENDA LAUMU

PILI, SOKO NI MUDA, TUNAJALI MUDA ILA HATUNA NIDHAMU YA MUDA NA UZALISHAJI, KURASIMISHA BIASHARA NK

TATU, MZUNGU ANAMWAMINI MZUNGU; AKIKOSA MZUNGU NDO ANAKUJA KWA MWAASIA NA MWAFIRKA.

KENYA NGOZI NYEUPE NDO ILIANZA KUSHIKA IYO BIASHARA KULIKO NGOZI NYEUSI KUTUKANA NA HISTORIA ZETU ZA MAMBO YA UHURU NA MILENGO YA KISIASA.

NNE, WATANZANIA HATUNA SHIDA, HAKUNA MWEZI AMBAO HAKUNA MKOA AMBAO HAUZALISHI ZAO,SHIDA HULETA AKILI, AKILI HUONGEZA UBUNIFU NA UGUNDUZI.
 
Hii biashara ni nzuri sana lakini kwa kuanza inabidi kujipanga kama kikundi ili kufuatilia vibali vyote, kutimiza masharti yote na kuwa na mtaji wa kutosha.
 
mleta mada, wataalamu wapo, Ebu Nenda Shule Biashara ya Kilimo (Agricultural Economics and Agribusiness) ipo chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine. Morogoro. wAnazo taarifa za kutosha kuhusu masuala uliyouliza.
===
Hata hivyo Nakushukuru kwa ku'provock' suala hili. Hakuna kipindi nilikasikirikia wizara inayohusu maswala ya biashara kama kipindi cha mwaka Juzi Nyanya zilivyokuwa nyingi sokoni kiasi cha watu kushindwa kuvuna mazao hayo kutokana na bei ndogo, wakati huko Nageria Nyanya mmoja inauzwa shilingi mia tatu za kitanzania. Na mashirika ya utangazaji ya kimataifa yalikuwa yakipiga kelele kuhusu uhaba wa Nyanya nchini Nigeria. Hakuna kilichofanyika kusaidia wakulima wetu. Sidhani kama Nigeria wana mlolongo lukuki wa vibali kuingiza mazao kilimo kama EU wafanyavyo. Hapa nitaomba usaidizi wa taarifa. Kuhusu wizara yetu ya biashara Kama kuna lililofanyika wakati huo wa balaa la bei ya Nyanya naomba kujulishwa.
 
Hapa kwetu tatizo kubwa ni sera nzuri kwakila nyanja watu wanaogopa kupoteza unaweza kuangaika na kilimo miaka nenda mika rudi ukatafuta soko ukaanda mzigo mala serekali imepiga marufuku kusafirisha mazo nje kisha serekali inakupangia sehemu ya kuuza mazao yako watu wanaogopa kufelishwa
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
 
Mifumo ya elimu hata viongoz hawana uelewa nini kifanyike sababu tangu zaman tulikuwa tunalima ili tusife njaa na wakati kilimo biashara kimeanza miaka ya karibun so tumejikuta wote kianzia viongoz had walimu hawajui wstufundishe nini sababu ns wenyewe hawajui....ila wapo wabonho wanaopekua pekua mambo ndio tunaona umuhimu wa kuuza nje hapo huja,ungumzia mazuio ya kila siku...mi napenda hizo mishe ila vikwazo vingi haswa vya Quality za kimataifa viongoz wanatuambia tu china wanataka muhogo wa Quality gani hawasemi hata nyama kabla ya kuuza wanataka record ya mnyama matibabu na malisho yake anakula majan ya sina gani na amechinjwa vip but unawasikia viongoz majukwaan wanasema tuna mifungo mingi africa kwanini hatuuzi nyama...utamuuzis nani nyama ng'ombe katembea km 50 kutafuta malisho na maji...kikubwa hatuna elimu na wanaotuongoza hawajui wafanye nini!
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
Qm interested yapo mazao mengi na sehrm nyingi tunaweza kuangalia namna ys kufanya
 
binafsi mie nilitafuta soko lakuexport strawberries botswana !dili zuri ..lakin nilinyoosha mikomo mm !kama ulivyosema Lasway.Jr kueport dry foods hapo sawa !mie walisema had wapime water contents ya matunda,plus udongo pia !mambo kibao !

@mbiyitaza dadangu nikupe siri kwenye ujasiriamali kwenye changamoto nyingi hpo ndyo hela ilipo badala ya kukata tamaa unatakiwa utafute solution once utakapopata solution mambo mengine yooote yatakaa kwenye mstari
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
 
Hallo i am a kenyan based in the European union, nitajitahidi kuandika na swahili ila munajua sisi wakenya swahili yetu ni ya kuomba maji na pia nafahamu nikiandika na english wemgi hapa hawataelewa, na sisemi hivyo kwa ubaya dada na kaka zangu wabongo na pia masemeji wangu maana nafikiri nitaoa huko kwenu, sasa tuingia kwa hii jambo la export, kweli vile huyu kaka amesema kuexport to european union kuna masariti magumu sana hata kenya iko muda walifunguwa kuexport hapa EU sababu ya kitu tunaita MLI, yaani ni chemicals ngapi ziko kwa hio tunda au mboga, na pia unahitaji hii kitu inaitwa GAP yaani hio inaoyesa vile mazao huaza toka mbegu mpaka inafika kuexport, kazi hio, kenya iko na ardhi dogo sana lakini inatengeneza billions of shillings kila mwaka na export of fresh produce, ila tz mko na ardhi tele rotuba nzuri lakini munatengeneza hela chache sana kutoka export of farm produce, WHY, kwanini, moja elimu ni changamoto huko bongo, 2 hamna viongozi ambao wanajali taifa lenu, 3 wakulima hawana hela na maarifa ya kisasa, kaa irragation, greenhouses , cold stroge facilities, sababu ni nyingi.tz ni taifa mungu aliibariki kabisa, lakini elimu na uongozi ndio changamoto. hebu fikiria tz ndio wenye mifugo mingi nambari 2 africa, lakini munaangiza nyama toka nje ya nchi, mko na over 2,000 coastline, mko na 3,000 rufiji delata acres amazo munaweza kuuza kufunga na kuuza schrimps and crabs, good mashamba ambapo munaweza kuza avocados and hortculture na mutengeneza billions every year, lakini hamna hilo.tz needs a seriuos investor in agriculture ambae atafundisha watu jinsi ya kufanya hii export of produce from tz. mwaka huu naja hapo tz na nitasirikiana na TAHA, and pia sugcot kuona ni vipi, kwahivyo jambo ninalosema kila muda ni kuwa ukasagundua tatizo, iliobaki ni kutafuta suluhiso,so kaa kuna yeyote ambae angehitaji either maarifa zaidi maana niko tayari na connection hapa EU na sio eu to hata asia and australia anaweza wasiliana nami toungee zaidi nikifika tuone vile tunaweza saidiana, mimi naamini kuwa mungu alituweka katika hii dunia tusaidiane, asanteni sana, sijui swahili yangu vipi, ukiwa intrested na hii bussiness get in touch pls, thank you
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom