Kwanini Watanzania wengi hawaendi kujisajili ubalozini?

Hakuna tija.

Kwanza ni maudhi tu mara nyingi kufanya hivyo. Balozi hizi mara nyingi wana 'attitude' ya kana kwamba unawapelekea mzigo kwa aina fulani - uanapofika pale 'atmosphere' iliyopo ianakwambia tu kwamba hukaribishwi!

Balozi zetu nadhani wanafikara za kwamba kila mTanzania aliyeko maeneo yao atawapelekea matatizo yake binafsi ambayo hawawezi au hawataki kujihusisha nayo.
 
Hakuna tija.

Kwanza ni maudhi tu mara nyingi kufanya hivyo. Balozi hizi mara nyingi wana 'attitude' ya kana kwamba unawapelekea mzigo kwa aina fulani - uanapofika pale 'atmosphere' iliyopo ianakwambia tu kwamba hukaribishwi!

Balozi zetu nadhani wanafikara za kwamba kila mTanzania aliyeko maeneo yao atawapelekea matatizo yake binafsi ambayo hawawezi au hawataki kujihusisha nayo.

Nakuunga mkono kwa maoni yako, sina la kujazia!
Balozi zetu wasitafute mchawi kwa hili!
 
1. Watanzania wengi hawana imani na serikali na organs zake.

2.Watu wako busy kuanzia kubeba box mpaka kufundisha vyuo vikuu.

3.Ubalozi hauna mpango mzuri wa kujisajili online, kama upo hautangazwi.Pia hamna consulates za kutosha, kujisajili kwa wengi inabidi ufunge safari ndefu au kutuma vitu kwa snail mail.

4.Watu wengine hawako nchi za watu kihalali na wanahofia balozi zetu, badala ya kututetea kama ilivyo kawaida zitaweza hata kutuchongea.

5.Ujisajili ili iweje? Waliojisajili hawapati taarifa wala huduma yoyote.

6.Privacy concerns among some civil libertarians.Mfano UK wanamuogopa Mama Maajar ataanzisha dossier la Watanzania wote wa CUF walioko huko.

7.Wengine hawataki uwezekano wa usumbufu (michango, kukutana na rais na washashi wengine wa kiserikali etc).

8.Protest against the Kikwete/CCM administration.

9.Serikali haiwezi kuwajali Watanzania walioko nje mpaka iwajali walio nyumbani.

10.Kujisajili ubalozini? Watu washatupa passport katika choo cha ndege wakirudishwa kutoka shamba kubwa kuwa deported "back home" to Jamaica, only to flip some moves out of JFK.Halafu unataka wajisajili ubalozini, unacheza!
 
Comments za kwa michuzi zinaonyesha jinsi Watanzania walivyo mbumbumbu. Hapo ndio uwaambie hata dualcitizenship watakuja na sababu za ajabu ajabu.

Hivi hata kama mtu anabeba box, kuna dhambi gani hapo? Kwani ukienda ubalozini unaandikisha mpaka kazi unayofanya?

Tuna safari ndefu sana!
 
Baadhi ya balozi zetu zinachangia katika hali hii pia. Hazina utaratibu wowote wa kufuatilia toka kwa mfano wizara ya elimu kujua ni Watanzania wangapi ambao wanaenda katika nchi husika kwa masomo au tayari wako katika nchi hiyo.Na wanapowasili kwenye nchi hizo hawapati msaada wowote toka ubalozini.

Pia baadhi ya balozi hufanya sherehe na kuwaalika baadhi ya Watanzania na kuwatolea nje wengine bila kuwa na sababu za kuridhisha kwanini wengine hawakualikwa. Wale wasioalikwa huamua kukata mguu ubalozini.

Hili la balozi zetu kuwaona Watanzania kama ni mzigo wanapotembelea ofisi hizo nimelisikia mara nyingi. Wakati mwingine mtu hahitaji kusema lolote ili uweze kufahamu kwamba hawapendi ugeni wako hapo ofisini kwao.

Balozi zetu hupewa fungu maalum kila mwaka kufanya sherehe kwa ajili ya kusherehekea muungano. Pamoja na kuwa na fungu hilo baadhi ya balozi huwa hazifanyi sherehe hiyo hivyo kuzidi kujitenga zaidi na Watanzania walio katika nchi hizo.

Tanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili. Je, Watanzania ambao wamechukua uraia wa nchi nyingine na hivyo 'kupoteza Utanzania wao' nao wanatakiwa wajiandikishe ubalozini?
 
Pamoja na sababu zilizitolewa hapo juu, mimi pia nadhani baadhi ya mambo yanayoulizwa na ubalozi unayoana irrelevant

Haingii akilini, kwa mfano ukiacha suala la kuwa ni vigumu kujisajili online, lakini pia baadhi ya balozi bado zina fomu ya wizara ya elimu ya juu ambayo nadhani ilipaswa kujazwa na wanafunzi wanaamba mkopo

Kama mimi ni privately sponsored na nimehangaika mwenyewe kutafuta sponsor, and you all know what it means, kwa nini wanataka kujua detail za sponsoprship yangu wakati haihusiani na wizara? kwa nini wasiweke mfumo wa kawaida bila kulazimika kujanza taarifa tunazodhani ni za binafsi na haziwahusu much as hawajakusaidia wala hawana mpango huo?

So mtu unaona kujiandikisha uzushi tu
 

Mi nadhani tatizo kubwa lilipo hapa ni kwamba watanzania (wengi wao)walio nje ya nchi wameshapata exposure tofauti na majority hapa nyumbani. Balozi zetu almost zote ziko too political na wala haziko Professional. Ukichukulia mfano wa UK, baada ya kuhimiza watu waungane waangalie namna ya kukomboana kiuchumi mkuu is busy officiating matawi ya CCM and yet wengi wanajua kabisa majority wanaojifanya wana-CCM huko ughaibuni ni opportunits tuu..wanaotaka wapewe vifavour...sasa kuna waliokwisha vuka hizo level za kutegemea favour..wanajua kabisa maisha ni kupambana kivyako....., Mabalozi wengi hawaelewi kwamba kuna wengi ambao sio waumini wa vyama bali wao ni watanzania na utanzania tuu. Ukweli ni kwamba akitokea balozi ambaye yupo professional na anajua anachokifanya watanzania watakuwa karibu. Ila kwa sasa naamini kabisa wengi hawapendi kujiingiza kwenye ukaribu na ubalozi maana hizi BALOZI HAVE NOTHING TO OFFER..Zaidi ya kuwaridhisha watawala nyumbani hata kama wanajua wanayoyafanya si sahihi....

Uhakika ni kwamba ECONOMIC DIPLOMACY KWA MABALOZI WENGI BADO NI NDOTO. Kuna watanzania wangependa kujihusisha na mambo ya nyumbani lakini kwa sababu ya exposure na kuona dunia za wenzetu zilivyo, they arent ready to waste their time na officials ambao wamejaa ukiritimba. They arent ready to sing zidumu fikra za mwenyekiti... the fikra must be analysed, challenged and ofcourse discarded if no longer viable!
 

Mi nadhani tatizo kubwa lilipo hapa ni kwamba watanzania (wengi wao)walio nje ya nchi wameshapata exposure tofauti na majority hapa nyumbani. Balozi zetu almost zote ziko too political na wala haziko Professional. Ukichukulia mfano wa UK, baada ya kuhimiza watu waungane waangalie namna ya kukomboana kiuchumi mkuu is busy officiating matawi ya CCM and yet wengi wanajua kabisa majority wanaojifanya wana-CCM huko ughaibuni ni opportunits tuu..wanaotaka wapewe vifavour...sasa kuna waliokwisha vuka hizo level za kutegemea favour..wanajua kabisa maisha ni kupambana kivyako....., Mabalozi wengi hawaelewi kwamba kuna wengi ambao sio waumini wa vyama bali wao ni watanzania na utanzania tuu. Ukweli ni kwamba akitokea balozi ambaye yupo professional na anajua anachokifanya watanzania watakuwa karibu. Ila kwa sasa naamini kabisa wengi hawapendi kujiingiza kwenye ukaribu na ubalozi maana hizi BALOZI HAVE NOTHING TO OFFER..Zaidi ya kuwaridhisha watawala nyumbani hata kama wanajua wanayoyafanya si sahihi....

Uhakika ni kwamba ECONOMIC DIPLOMACY KWA MABALOZI WENGI BADO NI NDOTO. Kuna watanzania wangependa kujihusisha na mambo ya nyumbani lakini kwa sababu ya exposure na kuona dunia za wenzetu zilivyo, they arent ready to waste their time na officials ambao wamejaa ukiritimba. They arent ready to sing zidumu fikra za mwenyekiti... the fikra must be analysed, challenged and ofcourse discarded if no longer viable!

Masanja chukua tano kwa sasa na baadaye namaliza na tano nyingine.You have said it all .Sina kuongezea.Mabalozi wana beba CCM wazi wazi nani anataka ujinga huo.Mwaka juzi nilibahatika kufika pale Brussels niamini nisemalao nimekuta mavita ya CCM kuanzi ma kadi na katiba nikawa najiuliza ya nini haya humu ? Balozi naye akawa ananishangaa kwa nini yasiwepo na wao ndiyo Chama tawala.Nikamuaga bwana Mlay nikaondoka maana nilimuona ana akili mgando .
 
1. Watanzania wengi hawana imani na serikali na organs zake.

2.Watu wako busy kuanzia kubeba box mpaka kufundisha vyuo vikuu.

3.Ubalozi hauna mpango mzuri wa kujisajili online, kama upo hautangazwi.Pia hamna consulates za kutosha, kujisajili kwa wengi inabidi ufunge safari ndefu au kutuma vitu kwa snail mail.

4.Watu wengine hawako nchi za watu kihalali na wanahofia balozi zetu, badala ya kututetea kama ilivyo kawaida zitaweza hata kutuchongea.

5.Ujisajili ili iweje? Waliojisajili hawapati taarifa wala huduma yoyote.

6.Privacy concerns among some civil libertarians.Mfano UK wanamuogopa Mama Maajar ataanzisha dossier la Watanzania wote wa CUF walioko huko.

7.Wengine hawataki uwezekano wa usumbufu (michango, kukutana na rais na washashi wengine wa kiserikali etc).

8.Protest against the Kikwete/CCM administration.

9.Serikali haiwezi kuwajali Watanzania walioko nje mpaka iwajali walio nyumbani.

10.Kujisajili ubalozini? Watu washatupa passport katika choo cha ndege wakirudishwa kutoka shamba kubwa kuwa deported "back home" to Jamaica, only to flip some moves out of JFK.Halafu unataka wajisajili ubalozini, unacheza!

BILA kusahau kuwa waliopo UK tangu 1995 tayari ni BRITISH CITIZENS na wengi wao ni watu wa Visiwani ambao idadi yao inavuka 15 000 na wanaona CUF kama chama kilichowakomboa toka mikononi mwa CCM ambayo haipendi watu wawe exposed na dunia ya nje
 
Najibu swali la Michuzi.

Asilimia 13
HIVI MAJUZI NILIPOKUWA UKEREWE NILISIKIA KWAMBA NI ASILIMIA 13 TU YA WABONGO NDIO WAMEJIANDIKISHA KWENYE JUMUIYA YAO HUKO, NA KWAMBA ASILIMIA NDOGO ZAIDI WAMEJISAJILI UBALOZINI KATIKA KUTIMIZA ULE WAJIBU WA KAWAIDA WA KUTAMBULIKA KAMA UKO HUKO UGHAIBUNI. NIMEJIULIZA MWASWALI KADHAA NA KUKOSA MAJIBU.
WADAU NAOMBA MNISAIDIE KUJIBU BAADHI YA MASWALI HAYO.
MWENYE NIA YA KUCHAFUA HALI YA HEWA ASIJISUMBUE KWANI MAONI HAYO HAYATOONA MWANGA WA JUA. MASWALI NI KAMA IFUATAVYO:

1.KWA NINI WABONGO WENGI HAWAJIANDIKISHI KUWA WANACHAMA WA JUMUIYA ZAO UGHAIBUNI?


Jumuiya ya watanzania UK si ya watanzania wote. Imejumuisha watu wachache ambao bwana Michuzi anawafahamu na wengine nahisi ndio huwa wenyeji wake, kwa hio hapa Michuzi asilete maswali yake ambayo ametumwa kuuliza.

Hili swali limekuwa linatafutwa namna ya kuliwasilisha na jibu lake linajulikana na Michuzi mwenyewe na waliomtuma kupeleka swali hilo huko katika blog yake.


2. KWA NINI WABONGO WENGI UGHAIBUNI HAWAENDI KWENYE OFISI ZA UBALOZI WAO NA KUJISAJILI?

Miaka ya nyuma niliwahi kupiga simu ubalozini na kumkuta dada mmoja ambae hatukuelewana lugha na ikabidi niende mwenyewe pale Hyde Park ulipokuwepo ubalozi wakti ule. Picha niliyoiona wakati ule ni kwamba ubalozini ni mahali pa watu fulani ambao huwa na mambo yao wayafanyayo likiwemo jambo la kutafuna fwedha ya walipa kodi kutoka nyumbani.

Ninavofahamu mimi ni kwamba hata kama raia awe amejiandikisha au hajajiandikisha ubalozini, endapo atapata shida yoyote iwe kufiwa, ugonjwa na mambo mengine ni lazima ubalozi utaarifiwe na jamaa/marafiki ili utoe msaada wowote ule kwa sababu ubalozi wowote ule una fungu la dharula la kukabiliana na mambo kama hayo.

Hii haimaanishi kwamba raia wa Tanzania ambae ama anayo pasi ya kusafiri au hana basi awe anaulizwaulizwa maswali mbona nimewahi kusikia wapo raia ambao husaidiwa kwa barua za dharura kwenda nazo bongo na wakarudi na pasi mpya za kusafiria? Je tumewahi kuhoji uhalali wa kufanza jambo hili?

Badala yake watu hutumbua pesa hio kwa sherehe na hafla zisizokwisha na endapo anaonekana mtu mgeni na wana Jumuiya basi huwa ni tatizo.

Kwa hio nafikiri jumuiya inayozungumzwa ni mtandao wa kinamna na watu wasianze uchokozi usio lazima.

3. NINI UFUMBUZI WA SWALI NAMBA 1 NA NAMBA 2?
NAOMBA KUWASILISHA


Ufumbuzi wa maswali haya ni kuwaachia raia wa Tanzania walio nje hasa UK kufanza mambo yao mradi hawavunji sheria za nchi mwenyeji isipokuwa kama imepitishwa sheria na nchi mwenyeji, kuwaambia wageni wajiandikishe polisi kwa malengo ya usalama. Kama inavojulikana kwamba siku sijazo raia wote wa kigeni watakuwa wanabeba ID cards ili kutambulika wao ni nani na wapo UK kwa malengo gani.

Pili, kama mtu atahitaji msaada wowote si mama Majaliwa amesema yupo "available" siku ya Alhamisi?

Kwa hio mkulu Michuzi naomba tafadhali,leave Tanzanians wa UK alone!
 
Back
Top Bottom