Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 16
Haya ndugu kama tumeshakutajia mambo aliyoyafanya ambayo hata viongozi wa sasa wanajikanyaga kuyafanya basi sina mengi zaidi. Labda uniambie kuwa ulikuwa moja wa mabepari wachache walioathirika na maamuzi ya Nyerere. Hivyo hata kama alifanya mabo ya maendeleo kwa watu wa namna yako hawawezi kuyaona kamwe!