AiseeMatusi matamu, ukianza kutukana huwezi kuacha. Hasa upate wa kutukanana nae......
Jf naona hakuna matusi sana bhanaa wee! Insta sijui ni matusi ya taifa gani ni mapya matupu hasa wanaumeWengine wanafanya hapa JF kama ndio sehemu yao ya kumalizia stress zao za maisha kwa kutukana wenzao! Nadhani ni stress za maisha tu pamoja na malezi mabaya toka utotoni! Hapa nimewaongelea wale watukanaji sugu wa jf.
Kwa huu uzi watakuwa wapenz wasomajiNgoja waje watukanaji mkuu.
mkuu matusi yamekukimbiza au vyuma kukaza maana insta inakula MB si masihalaAhaa huko Insta huwa naona matusi mpaka nilifutilia mbali ile application
Huko mimi sipo mkuu ila napo kama kuna matusi basi ni tatizo kubwa sana.Jf naona hakuna matusi sana bhanaa wee! Insta sijui ni matusi ya taifa gani ni mapya matupu hasa wanaume