my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Watanzania wana matusi sana. Unaweza ukakuta post ina comments 500 basi comments 450 zote ni matusi. Tofauti na post ambazo sio za watanzania katika hizo comments 500 unakuta 10 au 20 ndio wametukana wengine wana comment kutokana na post au wana joke lakini sio matusi ya nguoni.kuja kwa watanzania sasa wewe utawapenda unakuta mtu ameandika tusi mpaka wewe msomaji unastuka halafu unajiuliza kama mimi msomaji nimestuka hivi huyu muandishi itakuwa vipi? halafu una conclude Hapana hii comment lazima itakuwa imejipost wenyewe hakuna mtu anaweza kupost hivi. Baadae unakumbuka hamna haiwezi kuji post wenyewe lazima kuna alie post, mwisho wa siku unabaki njia panda imejipost au imepostiwa? Wana matusi kama wamesomea vile mengine hata mtu hujawai kuyasikia.sijui ni nini nyie watanzania Hebu pu nguzeni matusi ndio maana mna dharaulika mna akili za kutambua majina yenu tu na sehemu mnaishi lakini hamna akili kwenye mambo ya ulazima. Mbadilike