Jaman hivi mmeshafanya analysis ya kila jambo lina ukakasi ndio linapendwa kusikilizwa na kuangaliwa?
Yani ukitoa taarifa mbaya ndio watu wanajaa kama wote mfano andika msiba au mambo ya ugonjwa au mtu kupata matatizo basi panajaa kama mtu kama wote.
Mimi nadhani kuna shida embu tujiulize na tujirekebishe tuwe na Tanzania mpya.
Yani ukitoa taarifa mbaya ndio watu wanajaa kama wote mfano andika msiba au mambo ya ugonjwa au mtu kupata matatizo basi panajaa kama mtu kama wote.
Mimi nadhani kuna shida embu tujiulize na tujirekebishe tuwe na Tanzania mpya.