Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,748
- 5,237
Wakulungwa naombeni majibu, labda mimi ndio sielewi, hivi kwanini watanzania tunakua na chuki na mtu mwenye mafanikio?
Hata tunabaniana opportunity za kutoka kimaisha, ni kwanini? Yani mtu yuko radhi akupe kreti la bia lakini sio connection ya kupata pesa..mtu hayuko radhi aone mwingine anapata connection ya pesa au biashara, anaumia, anaona utafaidika sana au utakua tajiri..
Hata tunabaniana opportunity za kutoka kimaisha, ni kwanini? Yani mtu yuko radhi akupe kreti la bia lakini sio connection ya kupata pesa..mtu hayuko radhi aone mwingine anapata connection ya pesa au biashara, anaumia, anaona utafaidika sana au utakua tajiri..