ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Leo nimeenda ATM moja ya bank fulani kwa ajili ya kupata huduma, nikasema embu leo niokote hizi receipt za Watanzania wenzangu nizichunguze, nikainama na kuokota risiti ishirini, nilichokiona nilistaajabu jinsi Watanzania tulivo hatuna pesa.
Kati ya risiti ishirini, receipt moja tu ndo ilikuwa na kiwango cha balance kikubwa Chá pesa ambacho ni milioni sita na laki nne, hizo nyingine 19 ni zina pesa kidogo kidogo, Yani laki moja, elfu hamsini, laki 3, laki 4, laki mbili, elfu tisini,
Nikasema huu ni umasikini wa kutupa, kwanini watu hawana feza za kutosha, kwanini tunateseka, Mimi pia nilienda kutoa elfu hamsini nina balance ya laki nne Kama na thelathini. Kwanini serikali isituwezeshe Ili angalau tuwe hata na milioni Kumi.
Asante tupeane mbinu
Kati ya risiti ishirini, receipt moja tu ndo ilikuwa na kiwango cha balance kikubwa Chá pesa ambacho ni milioni sita na laki nne, hizo nyingine 19 ni zina pesa kidogo kidogo, Yani laki moja, elfu hamsini, laki 3, laki 4, laki mbili, elfu tisini,
Nikasema huu ni umasikini wa kutupa, kwanini watu hawana feza za kutosha, kwanini tunateseka, Mimi pia nilienda kutoa elfu hamsini nina balance ya laki nne Kama na thelathini. Kwanini serikali isituwezeshe Ili angalau tuwe hata na milioni Kumi.
Asante tupeane mbinu