Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani (CHADEMA& ACT-Wazalendo) kwenye mgomo wao na maandamano

Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano.

Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati?

Kwanini kuna ACT Wazalendo alafu kuna Chadema, kwanini? Kwanini wasiungane kutengeneza lichama likubwa lenye nguvu?

Ukisema ni milengo ya kisiasa nitakataa kwasababu ACT walikuwa ni Wajamaa (SOCIALIST, SOCIALISM), na akina Maalim Seif ni waliberali (LIBERAL, LIBERALISM) sasa inakuwaje wanaungana hii ni milengo inayokinzana sana kwahiyo utagundua kuwa ni interest tu na matamanio binafsi ya hawa ndugu, it has got nothing to with the interest of the people ni mambo binafsi kabisa.

Leo hii ukiwauliza ACT wao ni waliberali ama wajamaa hawawezi kukujibu, kwasababu kila mtu anavutia kwake raia wanaanzaje kuwachagua wakati wao wenyewe hawaelewani?

Hawataki mjadala huo na matokeo yake kimebaki kama kikundi cha watu flani wenye maslahi flani tu, zaidi zaidi wanajipachika uislamu kwenye chama chao kwasababu viongozi wa juu ni wadini sana. Wanataka waone waislamu kwamba kile ndio chama chao jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana inaweza ikawa ngumu sana hiko chama kukua huku upande wa bara, kwasababu kinatoa sura ya udini udini, na sababu kuu ya kuungana na Maalim Seif Sharif ni hiyo. Lakini habari njema ni kwamba wenye dini yao ndugu Waislamu wamekikataa.

Ukitaka kujua kuwa hawa viongozi wa upinzani ni wabinafsi waambie waunganishe nguvu kuanzia hivi leo, wasisubiri tuko katikati ya uchaguzi ndio waseme tunamuunga mkono mgombea flani, hawawezi fanya hivyo kwasababu za kibinafsi kabisa.

Kwanini basi Mtanzania wa leo aache shughuli zake za msingi ili aende kuandamana mpaka Godbless Lema ama Mchungaji Peter Msigwa ama Halima Mdee ama Freeman Mbowe awe mbunge, watawasaidia nini hawa raia?. Wamekuwa wabunge kwa muda mrefu wamesaidia nini majimboni kwao?

Ni wakati muafaka kwa waliokuwa wabunge wa Upinzani kukubaliana na hali halisi kwamba wamekuwa kikwazo sana kwa maendeleo ya watu, wamekuwa wakitaka lockdowns, hawataki Bwawa la Nyerere la Umeme, hawataki Reli ya kisasa ( SGR) hawataki miradi ya Maji, Majengo ya mahospitali, Mashule n.k, pamoja na kupinga vitu vyote hivyo lakini chuma amekuwa akivitekeleza kwa ufasaha kabisa, kwahiyo uwepo wao hauna maana yeyote kwenye agenda ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwasababu ya sera mbovu walizonazo ndio maana serikali haisikilizagi mambo yao inafanya mambo yake, tafakari kama serikali ingewasikiliza walivyosema nchi watu wafungiwe ndani tungekuwaje sasa hivi, kama haitoshi ilani zao wanasema tuweke rehani rasilimali zetu kama madini, gesi na mafuta ili kupata fedha, ni chizi tu atakayekubali ujinga kama huu, leo hii mimi kama Mtanzania siwezi kuandamana kuunga mkono uhuni huu kwa kuwa naipenda sana nchi hii.

1) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) hawawezi kamwe.

2) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa Bwawa kubwa la Umeme ili kumaliza tatizo kubwa la umeme lililopo Tanzania.

3) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa zahanati na mahospitali kila kona ya nchi hii.

4) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga watoto wanaoenda shule bila kutoa ada na wale wa chuo wanaopewa mikopo mikubwa bila shida na kwa wakati.

5) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga barabara nzuri zinazojengwa kila kona ya nchi hii.

6) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga kuhudumiwa vizuri waendapo kupata huduma serikalini.

7) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga uwekezaji kwenye sekta ya maji katika nchi hii ni vigumu sana kulipinga hili.

8) Watanzania wamekataa hadaa za wapinzani juu ya maendeleo yao.

9) Sababu kuu ya upinzani kuitisha maandamano ni ubinafsi tu, kwamba viongozi wa upinzani wanajiona kama ma Chief ukimaanisha kwamba wao kuchaguliwa na wananchi ni lazima na ili uchaguzi kwao uwe huru na haki ni lazima au mpaka washinde wao, najiuliza vipi wangekuwa wao ndio Chenge ama Kapuya na wengineo wengi.

10) Ukata wa fedha za Ruzuku ndio kitu kinawafanya wahangaike kutafuta huruma za wafuasi wao na kwa bahati mbaya wameyaita maandamano yao kama ni maandamano ya vyama viwili tu, na kejeli kwa wale wanaamini Dkt. John Pombe Magufuli anastahili kuendeleza shughuli alizozianza miaka mitano iliyopita, kwamba tukapime milembe, nani anafaa kupimwa milembe anaetaka kuweka rehani madini yetu ama anaeyatunza ili yanufaishe Taifa letu?

11) Kwanini Mtanzania aandamane ili Mbowe, Zitto, Msigwa ama Lema awe mbunge ni kwa faida ya nani haswa, yani Mtanzania aandamane ili Lema au Sugu awe mbunge kweli inaingia akilini, watu ambao hawajawahi kubadilisha chochote katika nchi hii zaidi ya kupata mishahara na malupulupu kwa ajili ya wao na familia zao, wanajenga biashara wao wenyewe, leo hii kwanini Mtanzania aandamane kwa ajili yao, kwa lipi haswa?

12) Hawa watu bado wana mentality ya uwepo wa Corona bado wanakejeli hatua zilizochukuliwa halafu leo wanakusanya watu bila hofu ya Corona, lakini bado wana hamu ya kuwawekea Lockdown raia wa Tanzania, tumewakosea nini sisi? ni Mtanzania gani anaweza kusapoti watu wa aina hii? hawana hofu ya Mungu na Lissu kwa mdomo wake amekuwa akikejeli kwamba Mungu hawezi shughulika na Corona, Watanzania wana hofu ya MUNGU hawataki viongozi wasio na hofu ya MUNGU ama wanamtaja MUNGU kwa dhihaka huku hawamuamini.

Watanzania hatutaandamana, fanyeni utafiti (research), wekeni sera zenu vizuri zinaakisi mahitaji ya watu, na watu watawaelewa lakini sio hadaa hizi. Tutawashangaza kwamba hatudanganyiki tunapenda tuendelee kuijenga nchi yetu, imejengwa bila nyie na mtupishe tuendelee kuijenga, atakaebadirisha mawazo tunamkaribisha katika ujenzi wa nchi.

Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mzalendo Mtanzania.
Endeleeni kuandika magazeti, Msilolijua ni kwamba mlifanya makosa makubwa kumkabidhi chama mtu mmoja. Kisha nyote mkaacha muongozwe na akili ya mtu mmoja. Matokeo yake kumbe mtu wenyewe hazimo kichwani...kawatumbukiza shimoni na hamtachomoza tena CCM!
 
Halaf wiki Chache Zijazo Wafuasi wa Benard Membe wataanzisha Mchakato wa kuwavua Uanachama Zitto na Maalim kwa kuvunja Katiba kwa kumsaliti Mgombea wao wa Urais na kumkampenia wa Chama kingine

Pamoja na kusalitiwa na viongozi wakuu wa chama chake, pamoja na mawakala wa ACT nchi nzima kutosimamia kura za Membe, pamoja na kufanya mikutano mitatu tu tena kijijini kwake Mtama Lindi pamoja na kukataa kupeleka wakala Mkuu Makao makuu ya Tume bado Mwamba na Jasusi huyo kaingia 3 bora
Wavueni uanachama wote, na futeni vyama vyote...sisi haja yetu nchi yetu iongozwe na tuliemchagua na sio tuongozwe na mwizi wa kura! Vyama kwa sasa si muhimu sana. Futeni tu!
 
E1CC123F-BD39-452E-97C1-63A69A931E0E.jpeg
 
Udhalimu na udikteta una mwisho. Angalau pigeni moyo konde muanze kushangilia ushindi mitaani basi.
Wewe unavyo hona hao ni watu gani,kutoka nchi gani,kituo kipi? au labda kuna kitu chochote kinaonyesha hapo ni TZ.

Majibu yako utayapata ktk hayo maswali.

Ila nashukuru umewaona waganga njaa wanaojifanya wanaharakati,waliwasaliti watu 2015 ,2020 wamesalitiwa wao.
View attachment 1616745
 
Jumatatu kila mpenda haki wa nchi hii ataingia barabaran kudai haki.
Kwa mtu kama wewe mjinga-mjinga hujui Kesho yako itakuaje huwezi kuona lolote Baya Ila Kwa wale wote ambayo wanawaza kuhusu Tanzania ya miaka 10 lazima atoke barabaran kudai haki,wewe endelea kukata kachumbari Sisi wenye kujua maisha yakoje endelea kutazama SERIES
Hutaona mtu ng'o, na huko barabarani hamtaenda zaidi ya mita 10.
 
Yani niache shuhuli zangu zaku.ifanya nipate pesa ya kula,eti kisa nikaandamane kumsapoti Mbowe tajiri anaepigania maslahi yake na familia yake,zitto tajiri anaetamani kuendelea kuwa mbunge,lissu Tajiri mwenye uhakika wa kula,kulala,kunywa na kusafiri atakapo.

Mimi siwezi kufanya upumbavu huo.
Ma punguani ndio pekee watakaoingia barabarani. Watanzania wazalendo hatuwezi kusikiliza mlevi wa faru John alitoa maagizo. Kama tulivyo mpuuza wakati wa Corona, na juma tatu hali kadhalika. Watuondolee upuuzi wao hapa.
 
Jumatatu kila mpenda haki wa nchi hii ataingia barabaran kudai haki.
Kwa mtu kama wewe mjinga-mjinga hujui Kesho yako itakuaje huwezi kuona lolote Baya Ila Kwa wale wote ambayo wanawaza kuhusu Tanzania ya miaka 10 lazima atoke barabaran kudai haki,wewe endelea kukata kachumbari Sisi wenye kujua maisha yakoje endelea kutazama SERIES
Vipi haki za waliomchagua magufuli?
 
Hivi sababu ya CCM kuiba kula nyingi kiasi kile nini...maana hakuna awamu ambayo imefanya mambo mengi na iliyokuwa inakubalika na wananchi kama hii.
Jamana printers waliwatengenezea karatasi 12,500,000 zenye vema kwa magufuli.
 
Jumatatu kila mpenda haki wa nchi hii ataingia barabaran kudai haki.
Kwa mtu kama wewe mjinga-mjinga hujui Kesho yako itakuaje huwezi kuona lolote Baya Ila Kwa wale wote ambayo wanawaza kuhusu Tanzania ya miaka 10 lazima atoke barabaran kudai haki,wewe endelea kukata kachumbari Sisi wenye kujua maisha yakoje endelea kutazama SERIES
Kupiga kura mnapigia mtandaoni na ushindi mnapeana kuapishana mtandaoni. Sitashangaa na maandamano kuishia mtandaoni kama ya Mange. Hakuna atakayetoa pua nje.
 
Tutawamisi sana humu jf maana pengine mtapoteza maisha au viungo na kushindwa ku share comment
Hapa, jitahidi uwahi ili uwe tanuru la kuwasha moto wa maandamano,
Tuacheni sisi tuendelee kula nyama choma na bia kidogo wakati tukisubili tanazania yenye neema.

Jumatatu kila mpenda haki wa nchi hii ataingia barabaran kudai haki.
Kwa mtu kama wewe mjinga-mjinga hujui Kesho yako itakuaje huwezi kuona lolote Baya Ila Kwa wale wote ambayo wanawaza kuhusu Tanzania ya miaka 10 lazima atoke barabaran kudai haki,wewe endelea kukata kachumbari Sisi wenye kujua maisha yakoje endelea kutazama SERIES
au mta
 
Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano.

Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati?

Kwanini kuna ACT Wazalendo alafu kuna Chadema, kwanini? Kwanini wasiungane kutengeneza lichama likubwa lenye nguvu?

Ukisema ni milengo ya kisiasa nitakataa kwasababu ACT walikuwa ni Wajamaa (SOCIALIST, SOCIALISM), na akina Maalim Seif ni waliberali (LIBERAL, LIBERALISM) sasa inakuwaje wanaungana hii ni milengo inayokinzana sana kwahiyo utagundua kuwa ni interest tu na matamanio binafsi ya hawa ndugu, it has got nothing to with the interest of the people ni mambo binafsi kabisa.

Leo hii ukiwauliza ACT wao ni waliberali ama wajamaa hawawezi kukujibu, kwasababu kila mtu anavutia kwake raia wanaanzaje kuwachagua wakati wao wenyewe hawaelewani?

Hawataki mjadala huo na matokeo yake kimebaki kama kikundi cha watu flani wenye maslahi flani tu, zaidi zaidi wanajipachika uislamu kwenye chama chao kwasababu viongozi wa juu ni wadini sana. Wanataka waone waislamu kwamba kile ndio chama chao jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana inaweza ikawa ngumu sana hiko chama kukua huku upande wa bara, kwasababu kinatoa sura ya udini udini, na sababu kuu ya kuungana na Maalim Seif Sharif ni hiyo. Lakini habari njema ni kwamba wenye dini yao ndugu Waislamu wamekikataa.

Ukitaka kujua kuwa hawa viongozi wa upinzani ni wabinafsi waambie waunganishe nguvu kuanzia hivi leo, wasisubiri tuko katikati ya uchaguzi ndio waseme tunamuunga mkono mgombea flani, hawawezi fanya hivyo kwasababu za kibinafsi kabisa.

Kwanini basi Mtanzania wa leo aache shughuli zake za msingi ili aende kuandamana mpaka Godbless Lema ama Mchungaji Peter Msigwa ama Halima Mdee ama Freeman Mbowe awe mbunge, watawasaidia nini hawa raia?. Wamekuwa wabunge kwa muda mrefu wamesaidia nini majimboni kwao?

Ni wakati muafaka kwa waliokuwa wabunge wa Upinzani kukubaliana na hali halisi kwamba wamekuwa kikwazo sana kwa maendeleo ya watu, wamekuwa wakitaka lockdowns, hawataki Bwawa la Nyerere la Umeme, hawataki Reli ya kisasa ( SGR) hawataki miradi ya Maji, Majengo ya mahospitali, Mashule n.k, pamoja na kupinga vitu vyote hivyo lakini chuma amekuwa akivitekeleza kwa ufasaha kabisa, kwahiyo uwepo wao hauna maana yeyote kwenye agenda ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwasababu ya sera mbovu walizonazo ndio maana serikali haisikilizagi mambo yao inafanya mambo yake, tafakari kama serikali ingewasikiliza walivyosema nchi watu wafungiwe ndani tungekuwaje sasa hivi, kama haitoshi ilani zao wanasema tuweke rehani rasilimali zetu kama madini, gesi na mafuta ili kupata fedha, ni chizi tu atakayekubali ujinga kama huu, leo hii mimi kama Mtanzania siwezi kuandamana kuunga mkono uhuni huu kwa kuwa naipenda sana nchi hii.

1) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) hawawezi kamwe.

2) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa Bwawa kubwa la Umeme ili kumaliza tatizo kubwa la umeme lililopo Tanzania.

3) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa zahanati na mahospitali kila kona ya nchi hii.

4) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga watoto wanaoenda shule bila kutoa ada na wale wa chuo wanaopewa mikopo mikubwa bila shida na kwa wakati.

5) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga barabara nzuri zinazojengwa kila kona ya nchi hii.

6) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga kuhudumiwa vizuri waendapo kupata huduma serikalini.

7) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga uwekezaji kwenye sekta ya maji katika nchi hii ni vigumu sana kulipinga hili.

8) Watanzania wamekataa hadaa za wapinzani juu ya maendeleo yao.

9) Sababu kuu ya upinzani kuitisha maandamano ni ubinafsi tu, kwamba viongozi wa upinzani wanajiona kama ma Chief ukimaanisha kwamba wao kuchaguliwa na wananchi ni lazima na ili uchaguzi kwao uwe huru na haki ni lazima au mpaka washinde wao, najiuliza vipi wangekuwa wao ndio Chenge ama Kapuya na wengineo wengi.

10) Ukata wa fedha za Ruzuku ndio kitu kinawafanya wahangaike kutafuta huruma za wafuasi wao na kwa bahati mbaya wameyaita maandamano yao kama ni maandamano ya vyama viwili tu, na kejeli kwa wale wanaamini Dkt. John Pombe Magufuli anastahili kuendeleza shughuli alizozianza miaka mitano iliyopita, kwamba tukapime milembe, nani anafaa kupimwa milembe anaetaka kuweka rehani madini yetu ama anaeyatunza ili yanufaishe Taifa letu?

11) Kwanini Mtanzania aandamane ili Mbowe, Zitto, Msigwa ama Lema awe mbunge ni kwa faida ya nani haswa, yani Mtanzania aandamane ili Lema au Sugu awe mbunge kweli inaingia akilini, watu ambao hawajawahi kubadilisha chochote katika nchi hii zaidi ya kupata mishahara na malupulupu kwa ajili ya wao na familia zao, wanajenga biashara wao wenyewe, leo hii kwanini Mtanzania aandamane kwa ajili yao, kwa lipi haswa?

12) Hawa watu bado wana mentality ya uwepo wa Corona bado wanakejeli hatua zilizochukuliwa halafu leo wanakusanya watu bila hofu ya Corona, lakini bado wana hamu ya kuwawekea Lockdown raia wa Tanzania, tumewakosea nini sisi? ni Mtanzania gani anaweza kusapoti watu wa aina hii? hawana hofu ya Mungu na Lissu kwa mdomo wake amekuwa akikejeli kwamba Mungu hawezi shughulika na Corona, Watanzania wana hofu ya MUNGU hawataki viongozi wasio na hofu ya MUNGU ama wanamtaja MUNGU kwa dhihaka huku hawamuamini.

Watanzania hatutaandamana, fanyeni utafiti (research), wekeni sera zenu vizuri zinaakisi mahitaji ya watu, na watu watawaelewa lakini sio hadaa hizi. Tutawashangaza kwamba hatudanganyiki tunapenda tuendelee kuijenga nchi yetu, imejengwa bila nyie na mtupishe tuendelee kuijenga, atakaebadirisha mawazo tunamkaribisha katika ujenzi wa nchi.

Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mzalendo Mtanzania.
Kweli kabisa, wanapinga kwa maneno matendo yao tofauti, mathalani, wakati wa kampendi walikusanyika, wanatumia barabara, ndege, meli, madaraja, mwendokasi, umeme nk ilhali wanapinga!
 
Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano.

Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati?

Kwanini kuna ACT Wazalendo alafu kuna Chadema, kwanini? Kwanini wasiungane kutengeneza lichama likubwa lenye nguvu?

Ukisema ni milengo ya kisiasa nitakataa kwasababu ACT walikuwa ni Wajamaa (SOCIALIST, SOCIALISM), na akina Maalim Seif ni waliberali (LIBERAL, LIBERALISM) sasa inakuwaje wanaungana hii ni milengo inayokinzana sana kwahiyo utagundua kuwa ni interest tu na matamanio binafsi ya hawa ndugu, it has got nothing to with the interest of the people ni mambo binafsi kabisa.

Leo hii ukiwauliza ACT wao ni waliberali ama wajamaa hawawezi kukujibu, kwasababu kila mtu anavutia kwake raia wanaanzaje kuwachagua wakati wao wenyewe hawaelewani?

Hawataki mjadala huo na matokeo yake kimebaki kama kikundi cha watu flani wenye maslahi flani tu, zaidi zaidi wanajipachika uislamu kwenye chama chao kwasababu viongozi wa juu ni wadini sana. Wanataka waone waislamu kwamba kile ndio chama chao jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana inaweza ikawa ngumu sana hiko chama kukua huku upande wa bara, kwasababu kinatoa sura ya udini udini, na sababu kuu ya kuungana na Maalim Seif Sharif ni hiyo. Lakini habari njema ni kwamba wenye dini yao ndugu Waislamu wamekikataa.

Ukitaka kujua kuwa hawa viongozi wa upinzani ni wabinafsi waambie waunganishe nguvu kuanzia hivi leo, wasisubiri tuko katikati ya uchaguzi ndio waseme tunamuunga mkono mgombea flani, hawawezi fanya hivyo kwasababu za kibinafsi kabisa.

Kwanini basi Mtanzania wa leo aache shughuli zake za msingi ili aende kuandamana mpaka Godbless Lema ama Mchungaji Peter Msigwa ama Halima Mdee ama Freeman Mbowe awe mbunge, watawasaidia nini hawa raia?. Wamekuwa wabunge kwa muda mrefu wamesaidia nini majimboni kwao?

Ni wakati muafaka kwa waliokuwa wabunge wa Upinzani kukubaliana na hali halisi kwamba wamekuwa kikwazo sana kwa maendeleo ya watu, wamekuwa wakitaka lockdowns, hawataki Bwawa la Nyerere la Umeme, hawataki Reli ya kisasa ( SGR) hawataki miradi ya Maji, Majengo ya mahospitali, Mashule n.k, pamoja na kupinga vitu vyote hivyo lakini chuma amekuwa akivitekeleza kwa ufasaha kabisa, kwahiyo uwepo wao hauna maana yeyote kwenye agenda ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwasababu ya sera mbovu walizonazo ndio maana serikali haisikilizagi mambo yao inafanya mambo yake, tafakari kama serikali ingewasikiliza walivyosema nchi watu wafungiwe ndani tungekuwaje sasa hivi, kama haitoshi ilani zao wanasema tuweke rehani rasilimali zetu kama madini, gesi na mafuta ili kupata fedha, ni chizi tu atakayekubali ujinga kama huu, leo hii mimi kama Mtanzania siwezi kuandamana kuunga mkono uhuni huu kwa kuwa naipenda sana nchi hii.

1) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) hawawezi kamwe.

2) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa Bwawa kubwa la Umeme ili kumaliza tatizo kubwa la umeme lililopo Tanzania.

3) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa zahanati na mahospitali kila kona ya nchi hii.

4) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga watoto wanaoenda shule bila kutoa ada na wale wa chuo wanaopewa mikopo mikubwa bila shida na kwa wakati.

5) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga barabara nzuri zinazojengwa kila kona ya nchi hii.

6) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga kuhudumiwa vizuri waendapo kupata huduma serikalini.

7) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga uwekezaji kwenye sekta ya maji katika nchi hii ni vigumu sana kulipinga hili.

8) Watanzania wamekataa hadaa za wapinzani juu ya maendeleo yao.

9) Sababu kuu ya upinzani kuitisha maandamano ni ubinafsi tu, kwamba viongozi wa upinzani wanajiona kama ma Chief ukimaanisha kwamba wao kuchaguliwa na wananchi ni lazima na ili uchaguzi kwao uwe huru na haki ni lazima au mpaka washinde wao, najiuliza vipi wangekuwa wao ndio Chenge ama Kapuya na wengineo wengi.

10) Ukata wa fedha za Ruzuku ndio kitu kinawafanya wahangaike kutafuta huruma za wafuasi wao na kwa bahati mbaya wameyaita maandamano yao kama ni maandamano ya vyama viwili tu, na kejeli kwa wale wanaamini Dkt. John Pombe Magufuli anastahili kuendeleza shughuli alizozianza miaka mitano iliyopita, kwamba tukapime milembe, nani anafaa kupimwa milembe anaetaka kuweka rehani madini yetu ama anaeyatunza ili yanufaishe Taifa letu?

11) Kwanini Mtanzania aandamane ili Mbowe, Zitto, Msigwa ama Lema awe mbunge ni kwa faida ya nani haswa, yani Mtanzania aandamane ili Lema au Sugu awe mbunge kweli inaingia akilini, watu ambao hawajawahi kubadilisha chochote katika nchi hii zaidi ya kupata mishahara na malupulupu kwa ajili ya wao na familia zao, wanajenga biashara wao wenyewe, leo hii kwanini Mtanzania aandamane kwa ajili yao, kwa lipi haswa?

12) Hawa watu bado wana mentality ya uwepo wa Corona bado wanakejeli hatua zilizochukuliwa halafu leo wanakusanya watu bila hofu ya Corona, lakini bado wana hamu ya kuwawekea Lockdown raia wa Tanzania, tumewakosea nini sisi? ni Mtanzania gani anaweza kusapoti watu wa aina hii? hawana hofu ya Mungu na Lissu kwa mdomo wake amekuwa akikejeli kwamba Mungu hawezi shughulika na Corona, Watanzania wana hofu ya MUNGU hawataki viongozi wasio na hofu ya MUNGU ama wanamtaja MUNGU kwa dhihaka huku hawamuamini.

Watanzania hatutaandamana, fanyeni utafiti (research), wekeni sera zenu vizuri zinaakisi mahitaji ya watu, na watu watawaelewa lakini sio hadaa hizi. Tutawashangaza kwamba hatudanganyiki tunapenda tuendelee kuijenga nchi yetu, imejengwa bila nyie na mtupishe tuendelee kuijenga, atakaebadirisha mawazo tunamkaribisha katika ujenzi wa nchi.

Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mzalendo Mtanzania.

Umeandika gazeti refu sana lakini mimi mtanzania naunga mkono kupinga uchafuzi uliofanyika wa wizi wa kura
 
Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano.

Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati?

Kwanini kuna ACT Wazalendo alafu kuna Chadema, kwanini? Kwanini wasiungane kutengeneza lichama likubwa lenye nguvu?

Ukisema ni milengo ya kisiasa nitakataa kwasababu ACT walikuwa ni Wajamaa (SOCIALIST, SOCIALISM), na akina Maalim Seif ni waliberali (LIBERAL, LIBERALISM) sasa inakuwaje wanaungana hii ni milengo inayokinzana sana kwahiyo utagundua kuwa ni interest tu na matamanio binafsi ya hawa ndugu, it has got nothing to with the interest of the people ni mambo binafsi kabisa.

Leo hii ukiwauliza ACT wao ni waliberali ama wajamaa hawawezi kukujibu, kwasababu kila mtu anavutia kwake raia wanaanzaje kuwachagua wakati wao wenyewe hawaelewani?

Hawataki mjadala huo na matokeo yake kimebaki kama kikundi cha watu flani wenye maslahi flani tu, zaidi zaidi wanajipachika uislamu kwenye chama chao kwasababu viongozi wa juu ni wadini sana. Wanataka waone waislamu kwamba kile ndio chama chao jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana inaweza ikawa ngumu sana hiko chama kukua huku upande wa bara, kwasababu kinatoa sura ya udini udini, na sababu kuu ya kuungana na Maalim Seif Sharif ni hiyo. Lakini habari njema ni kwamba wenye dini yao ndugu Waislamu wamekikataa.

Ukitaka kujua kuwa hawa viongozi wa upinzani ni wabinafsi waambie waunganishe nguvu kuanzia hivi leo, wasisubiri tuko katikati ya uchaguzi ndio waseme tunamuunga mkono mgombea flani, hawawezi fanya hivyo kwasababu za kibinafsi kabisa.

Kwanini basi Mtanzania wa leo aache shughuli zake za msingi ili aende kuandamana mpaka Godbless Lema ama Mchungaji Peter Msigwa ama Halima Mdee ama Freeman Mbowe awe mbunge, watawasaidia nini hawa raia?. Wamekuwa wabunge kwa muda mrefu wamesaidia nini majimboni kwao?

Ni wakati muafaka kwa waliokuwa wabunge wa Upinzani kukubaliana na hali halisi kwamba wamekuwa kikwazo sana kwa maendeleo ya watu, wamekuwa wakitaka lockdowns, hawataki Bwawa la Nyerere la Umeme, hawataki Reli ya kisasa ( SGR) hawataki miradi ya Maji, Majengo ya mahospitali, Mashule n.k, pamoja na kupinga vitu vyote hivyo lakini chuma amekuwa akivitekeleza kwa ufasaha kabisa, kwahiyo uwepo wao hauna maana yeyote kwenye agenda ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwasababu ya sera mbovu walizonazo ndio maana serikali haisikilizagi mambo yao inafanya mambo yake, tafakari kama serikali ingewasikiliza walivyosema nchi watu wafungiwe ndani tungekuwaje sasa hivi, kama haitoshi ilani zao wanasema tuweke rehani rasilimali zetu kama madini, gesi na mafuta ili kupata fedha, ni chizi tu atakayekubali ujinga kama huu, leo hii mimi kama Mtanzania siwezi kuandamana kuunga mkono uhuni huu kwa kuwa naipenda sana nchi hii.

1) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) hawawezi kamwe.

2) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa Bwawa kubwa la Umeme ili kumaliza tatizo kubwa la umeme lililopo Tanzania.

3) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa zahanati na mahospitali kila kona ya nchi hii.

4) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga watoto wanaoenda shule bila kutoa ada na wale wa chuo wanaopewa mikopo mikubwa bila shida na kwa wakati.

5) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga barabara nzuri zinazojengwa kila kona ya nchi hii.

6) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga kuhudumiwa vizuri waendapo kupata huduma serikalini.

7) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga uwekezaji kwenye sekta ya maji katika nchi hii ni vigumu sana kulipinga hili.

8) Watanzania wamekataa hadaa za wapinzani juu ya maendeleo yao.

9) Sababu kuu ya upinzani kuitisha maandamano ni ubinafsi tu, kwamba viongozi wa upinzani wanajiona kama ma Chief ukimaanisha kwamba wao kuchaguliwa na wananchi ni lazima na ili uchaguzi kwao uwe huru na haki ni lazima au mpaka washinde wao, najiuliza vipi wangekuwa wao ndio Chenge ama Kapuya na wengineo wengi.

10) Ukata wa fedha za Ruzuku ndio kitu kinawafanya wahangaike kutafuta huruma za wafuasi wao na kwa bahati mbaya wameyaita maandamano yao kama ni maandamano ya vyama viwili tu, na kejeli kwa wale wanaamini Dkt. John Pombe Magufuli anastahili kuendeleza shughuli alizozianza miaka mitano iliyopita, kwamba tukapime milembe, nani anafaa kupimwa milembe anaetaka kuweka rehani madini yetu ama anaeyatunza ili yanufaishe Taifa letu?

11) Kwanini Mtanzania aandamane ili Mbowe, Zitto, Msigwa ama Lema awe mbunge ni kwa faida ya nani haswa, yani Mtanzania aandamane ili Lema au Sugu awe mbunge kweli inaingia akilini, watu ambao hawajawahi kubadilisha chochote katika nchi hii zaidi ya kupata mishahara na malupulupu kwa ajili ya wao na familia zao, wanajenga biashara wao wenyewe, leo hii kwanini Mtanzania aandamane kwa ajili yao, kwa lipi haswa?

12) Hawa watu bado wana mentality ya uwepo wa Corona bado wanakejeli hatua zilizochukuliwa halafu leo wanakusanya watu bila hofu ya Corona, lakini bado wana hamu ya kuwawekea Lockdown raia wa Tanzania, tumewakosea nini sisi? ni Mtanzania gani anaweza kusapoti watu wa aina hii? hawana hofu ya Mungu na Lissu kwa mdomo wake amekuwa akikejeli kwamba Mungu hawezi shughulika na Corona, Watanzania wana hofu ya MUNGU hawataki viongozi wasio na hofu ya MUNGU ama wanamtaja MUNGU kwa dhihaka huku hawamuamini.

Watanzania hatutaandamana, fanyeni utafiti (research), wekeni sera zenu vizuri zinaakisi mahitaji ya watu, na watu watawaelewa lakini sio hadaa hizi. Tutawashangaza kwamba hatudanganyiki tunapenda tuendelee kuijenga nchi yetu, imejengwa bila nyie na mtupishe tuendelee kuijenga, atakaebadirisha mawazo tunamkaribisha katika ujenzi wa nchi.

Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mzalendo Mtanzania.
Stephano Mgendanyi tokea nianze kusoma humu nyuzi za wadau mbalimbali sijawahi kuona mdau aliyotoa hoja nzuri na yenye mashiko Kama wewe.Hii kwangu ndio best thread Hadi sasa.
mama D umeona hoja ya mdau huyu?
 
Kwanini Watanzania hawatawaunga mkono wapinzani kwenye mgomo wao na maandamano.

Kwanza vyama vya upinzani vimegoma kukubali mapungufu yao makubwa kabisa ya kimuundo na kisera katika vyama vyao. Kwanza kabisa wananchi wanataka kujua kama kweli wana nia ya dhati?

Kwanini kuna ACT Wazalendo alafu kuna Chadema, kwanini? Kwanini wasiungane kutengeneza lichama likubwa lenye nguvu?

Ukisema ni milengo ya kisiasa nitakataa kwasababu ACT walikuwa ni Wajamaa (SOCIALIST, SOCIALISM), na akina Maalim Seif ni waliberali (LIBERAL, LIBERALISM) sasa inakuwaje wanaungana hii ni milengo inayokinzana sana kwahiyo utagundua kuwa ni interest tu na matamanio binafsi ya hawa ndugu, it has got nothing to with the interest of the people ni mambo binafsi kabisa.

Leo hii ukiwauliza ACT wao ni waliberali ama wajamaa hawawezi kukujibu, kwasababu kila mtu anavutia kwake raia wanaanzaje kuwachagua wakati wao wenyewe hawaelewani?

Hawataki mjadala huo na matokeo yake kimebaki kama kikundi cha watu flani wenye maslahi flani tu, zaidi zaidi wanajipachika uislamu kwenye chama chao kwasababu viongozi wa juu ni wadini sana. Wanataka waone waislamu kwamba kile ndio chama chao jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana inaweza ikawa ngumu sana hiko chama kukua huku upande wa bara, kwasababu kinatoa sura ya udini udini, na sababu kuu ya kuungana na Maalim Seif Sharif ni hiyo. Lakini habari njema ni kwamba wenye dini yao ndugu Waislamu wamekikataa.

Ukitaka kujua kuwa hawa viongozi wa upinzani ni wabinafsi waambie waunganishe nguvu kuanzia hivi leo, wasisubiri tuko katikati ya uchaguzi ndio waseme tunamuunga mkono mgombea flani, hawawezi fanya hivyo kwasababu za kibinafsi kabisa.

Kwanini basi Mtanzania wa leo aache shughuli zake za msingi ili aende kuandamana mpaka Godbless Lema ama Mchungaji Peter Msigwa ama Halima Mdee ama Freeman Mbowe awe mbunge, watawasaidia nini hawa raia?. Wamekuwa wabunge kwa muda mrefu wamesaidia nini majimboni kwao?

Ni wakati muafaka kwa waliokuwa wabunge wa Upinzani kukubaliana na hali halisi kwamba wamekuwa kikwazo sana kwa maendeleo ya watu, wamekuwa wakitaka lockdowns, hawataki Bwawa la Nyerere la Umeme, hawataki Reli ya kisasa ( SGR) hawataki miradi ya Maji, Majengo ya mahospitali, Mashule n.k, pamoja na kupinga vitu vyote hivyo lakini chuma amekuwa akivitekeleza kwa ufasaha kabisa, kwahiyo uwepo wao hauna maana yeyote kwenye agenda ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwasababu ya sera mbovu walizonazo ndio maana serikali haisikilizagi mambo yao inafanya mambo yake, tafakari kama serikali ingewasikiliza walivyosema nchi watu wafungiwe ndani tungekuwaje sasa hivi, kama haitoshi ilani zao wanasema tuweke rehani rasilimali zetu kama madini, gesi na mafuta ili kupata fedha, ni chizi tu atakayekubali ujinga kama huu, leo hii mimi kama Mtanzania siwezi kuandamana kuunga mkono uhuni huu kwa kuwa naipenda sana nchi hii.

1) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) hawawezi kamwe.

2) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa Bwawa kubwa la Umeme ili kumaliza tatizo kubwa la umeme lililopo Tanzania.

3) Watanzania hawawezi kuandamana ili kupinga ujenzi wa zahanati na mahospitali kila kona ya nchi hii.

4) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga watoto wanaoenda shule bila kutoa ada na wale wa chuo wanaopewa mikopo mikubwa bila shida na kwa wakati.

5) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga barabara nzuri zinazojengwa kila kona ya nchi hii.

6) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga kuhudumiwa vizuri waendapo kupata huduma serikalini.

7) Watanzania hawawezi kuandamana kupinga uwekezaji kwenye sekta ya maji katika nchi hii ni vigumu sana kulipinga hili.

8) Watanzania wamekataa hadaa za wapinzani juu ya maendeleo yao.

9) Sababu kuu ya upinzani kuitisha maandamano ni ubinafsi tu, kwamba viongozi wa upinzani wanajiona kama ma Chief ukimaanisha kwamba wao kuchaguliwa na wananchi ni lazima na ili uchaguzi kwao uwe huru na haki ni lazima au mpaka washinde wao, najiuliza vipi wangekuwa wao ndio Chenge ama Kapuya na wengineo wengi.

10) Ukata wa fedha za Ruzuku ndio kitu kinawafanya wahangaike kutafuta huruma za wafuasi wao na kwa bahati mbaya wameyaita maandamano yao kama ni maandamano ya vyama viwili tu, na kejeli kwa wale wanaamini Dkt. John Pombe Magufuli anastahili kuendeleza shughuli alizozianza miaka mitano iliyopita, kwamba tukapime milembe, nani anafaa kupimwa milembe anaetaka kuweka rehani madini yetu ama anaeyatunza ili yanufaishe Taifa letu?

11) Kwanini Mtanzania aandamane ili Mbowe, Zitto, Msigwa ama Lema awe mbunge ni kwa faida ya nani haswa, yani Mtanzania aandamane ili Lema au Sugu awe mbunge kweli inaingia akilini, watu ambao hawajawahi kubadilisha chochote katika nchi hii zaidi ya kupata mishahara na malupulupu kwa ajili ya wao na familia zao, wanajenga biashara wao wenyewe, leo hii kwanini Mtanzania aandamane kwa ajili yao, kwa lipi haswa?

12) Hawa watu bado wana mentality ya uwepo wa Corona bado wanakejeli hatua zilizochukuliwa halafu leo wanakusanya watu bila hofu ya Corona, lakini bado wana hamu ya kuwawekea Lockdown raia wa Tanzania, tumewakosea nini sisi? ni Mtanzania gani anaweza kusapoti watu wa aina hii? hawana hofu ya Mungu na Lissu kwa mdomo wake amekuwa akikejeli kwamba Mungu hawezi shughulika na Corona, Watanzania wana hofu ya MUNGU hawataki viongozi wasio na hofu ya MUNGU ama wanamtaja MUNGU kwa dhihaka huku hawamuamini.

Watanzania hatutaandamana, fanyeni utafiti (research), wekeni sera zenu vizuri zinaakisi mahitaji ya watu, na watu watawaelewa lakini sio hadaa hizi. Tutawashangaza kwamba hatudanganyiki tunapenda tuendelee kuijenga nchi yetu, imejengwa bila nyie na mtupishe tuendelee kuijenga, atakaebadirisha mawazo tunamkaribisha katika ujenzi wa nchi.

Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mzalendo Mtanzania.

Wahenga walisema yenye uchungu ndio dawa.
Wapinzani wa Tanzania haswa ACT na CHADEMA wasiporudi nyuma na kujitafakari wanaenda kubaki kwenye historia ya nchi hii kama mfano wa magenge ya watu waliowahi kutumia mfumo demokrasia ya vyama vingi kufanya mambo ya ajabu kuwahi kutokea duniani ikiwamo kuihujumu nchi yao.

Asante kwa kuwaeleza Stephano Mgendanyi kwa kuwakumbusha walikoangukia, sasa ni maamuzi yao kuamua kubaki kuvijenga vyama vyao upya katika misingi ya ukweli wakizingatia uzalendo, au kuungana na wananchi kupokea, kukubali na boresha maendeleo yanayofanywa na kusimamiwa na serikali.

Na katika yote wajue hawawezi kuendelea kuwatumia wananchi wa Tanzania kuungana mkono juhudi za kumsaidia Tundu na bobuamstadamu wake kupata huo ushahidi wa maandamano wanaoutaka kwa udi na uvumba ili kuhhujumu nchi yetu, wala hakuna mwananchi wa Tanzania atakaekubali kuungana nao kubeza na kupinga maendeleo yanayofanya na rais John Pombe Magufuli

Cc innocent dependent
 
Back
Top Bottom