Kwanini watangazaji na wachambuzi wengi wa mpira ni Yanga?

Mimi nashabika Simba...pia nasikiliza sana vipindi vya michezo it's like nipo addicted yani...kila muda wa michezo na earphones zangu...
Lakini nilichogundua ni kwamba tatizo si kwa wachambuzi...ila sisi wasikilizaji tunapenda kusikia tunavyotaka kusikia...wachambuzi wanajitahidi kuwa neutral lakini sisi Mashabiki hatutaki timu zetu zisemwe ikisemwa Yanga basi wale Simba ikisemwa Simba vivyo hivyo.
Kifupi tumewachoka mashabiki maandazi...if u ain't no football you better find some other things to do....wachambuzi hawana shida kabisa tatizo mashabiki maandazi hampendi ukweli.
Sir, the issue is very very simple.

Simba kwa sasa ndio team yenye brand kubwa zaidi na kupendwa pia kufatiliwa kuliko club yoyote.
Ina followers wengi kuliko club yoyote kwenye platforms zote, inashiriki mashindano makubwa, ina wachezaji wa daraja la juu kwa ligi yetu kuliko club yoyote, ina fedha, ni bingwa mtetezi, ina Arena yake ya kisasa kabisa n.k

Hivyo vyote vinafanya Simba kuwa mtaji kwa wachambuzi ambao wanatengeneza pesa via social media accounts zao, if he/she talks anything nasty about Simba lazima iende viral kwa sababu Simba fans tuko active mbayaaaa aongelee kuhusu Yanga apate nini wakati wamelala?

Mtizame Mange, Soudy Brown na wenzie wanatumiaje mambo ya Mond kutengeneza mawe hata wakimzungumzia Kiba au Harmonize ni kwa mlengo uleule wa eidha kijembe kwa Mond n.k
So usiumizwe kichwa na vitu zinazoingizia watu pesa. So have fun life is too short buda.
 
Kwa research niliyo ifanya mtandaoni hususani instagram, pamoja na radion (kupitia vipindi vya michezo) nimegundua watangazaji na wachambuzi wa mpira wengi wao ni YANGA. mf. pale wasafi sports Arena wote wale ni jangwani, EFM ukiondoa Ibrahim Maestro walio baki wote ni yanga, CLOUDS ndiyo kabisa.

Hii inasababisha hata yanga akiwa na makando kando kwenye mechi au migogoro ndani ya club utaona wanayaficha ficha.

Lakini ikiwa upande wa simba wataandika watachambua hao mpaka nucta

Wanatukosea sana sisi wasikilizaji na wafuatiliaji wa habari za michezo mitandaoni
Yanga nayo pia ni CCM
 
Sir, the issue is very very simple.

Simba kwa sasa ndio team yenye brand kubwa zaidi na kupendwa pia kufatiliwa kuliko club yoyote.
Ina followers wengi kuliko club yoyote kwenye platforms zote, inashiriki mashindano makubwa, ina wachezaji wa daraja la juu kwa ligi yetu kuliko club yoyote, ina fedha, ni bingwa mtetezi, ina Arena yake ya kisasa kabisa n.k

Hivyo vyote vinafanya Simba kuwa mtaji kwa wachambuzi ambao wanatengeneza pesa via social media accounts zao, if he/she talks anything nasty about Simba lazima iende viral kwa sababu Simba fans tuko active mbayaaaa aongelee kuhusu Yanga apate nini wakati wamelala?

Mtizame Mange, Soudy Brown na wenzie wanatumiaje mambo ya Mond kutengeneza mawe hata wakimzungumzia Kiba au Harmonize ni kwa mlengo uleule wa eidha kijembe kwa Mond n.k
So usiumizwe kichwa na vitu zinazoingizia watu pesa. So have fun life is too short buda.
Wala siwezi kuumizwa kichwa mkuu...lakini kuna Sumu imesambazwa ndani ya vichwa vya mashabiki wengi kiasi kwamba mchambuzi akisema chochote chenye mapungufu kuhusu klabu yao mashabiki huja juu kwamba kwasababu huyo mchambuzi ni wa upande wa pili....bila kujali anachosema kina mantiki ama la kitu ambacho no upuuzi mtupu kwenye michezo kwa ujula wake
...hicho ndicho ninacho ongelea mimi.
 
Mimi nashabika Simba...pia nasikiliza sana vipindi vya michezo it's like nipo addicted yani...kila muda wa michezo na earphones zangu...
Lakini nilichogundua ni kwamba tatizo si kwa wachambuzi.

Ila sisi wasikilizaji tunapenda kusikia tunavyotaka kusikia...wachambuzi wanajitahidi kuwa neutral lakini sisi Mashabiki hatutaki timu zetu zisemwe ikisemwa Yanga basi wale Simba ikisemwa Simba vivyo hivyo.

Kifupi tumewachoka mashabiki maandazi...if u ain't no football you better find some other things to do....wachambuzi hawana shida kabisa tatizo mashabiki maandazi hampendi ukweli.
Tatizo ni kizazi hiki kilichoipenda Simba kipindi Hiki Cha Moo, hakitaki kusikia Bata lolote kuhusu Simba, ukiongeza na majigambo ya msemaji wao Basi wao wanadhani Simba ni zaidi ya vilabu vyote duniani, kumbe kiuhalisia Simba na Ruvu shooting au Tz prison ni na Mashujaa fc wote ni sawa tu.
 
Mimi nashabika Simba...pia nasikiliza sana vipindi vya michezo it's like nipo addicted yani...kila muda wa michezo na earphones zangu...
Lakini nilichogundua ni kwamba tatizo si kwa wachambuzi.

Ila sisi wasikilizaji tunapenda kusikia tunavyotaka kusikia...wachambuzi wanajitahidi kuwa neutral lakini sisi Mashabiki hatutaki timu zetu zisemwe ikisemwa Yanga basi wale Simba ikisemwa Simba vivyo hivyo.

Kifupi tumewachoka mashabiki maandazi...if u ain't no football you better find some other things to do....wachambuzi hawana shida kabisa tatizo mashabiki maandazi hampendi ukweli.
Umemaliza kila kitu mdau
 
Mimi nashabika Simba...pia nasikiliza sana vipindi vya michezo it's like nipo addicted yani...kila muda wa michezo na earphones zangu...
Lakini nilichogundua ni kwamba tatizo si kwa wachambuzi.

Ila sisi wasikilizaji tunapenda kusikia tunavyotaka kusikia...wachambuzi wanajitahidi kuwa neutral lakini sisi Mashabiki hatutaki timu zetu zisemwe ikisemwa Yanga basi wale Simba ikisemwa Simba vivyo hivyo.

Kifupi tumewachoka mashabiki maandazi...if u ain't no football you better find some other things to do....wachambuzi hawana shida kabisa tatizo mashabiki maandazi hampendi ukweli.
Huu uandishi wako ni km wa wale wachambuzi mambumbumbu
 
Simba ni furahisha genge tu ila watanzania wote ni yanga ukishaitwa mwanachi wa Tanzania unakuwa unakuwa mwanayanga moja kwa moja huwezi kataa asili yako hata manara yupo simba kutetea biryan ya nyumban kwake
 
Back
Top Bottom