Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Waswahili huwa tunatema mate kwenye mabasi,
tunapenga na kukojoa hovyo barabarani,
tukiwa tunahama tunang'oa hadi silingi bodi licha ya kuwa tumelikuta, na pia huwa tunaharibu vitasa vya milango,
tukienda kwenye pati tunaiba misossi na kuondoka na chupa,
jamani hivi kwa nini tuna tabia za ajabu?
Tabia zetu mbaya ni nyingi mno kiasi kwamba nikiandika zote hapa wino utaisha kwenye monitor yangu,
lakini kikubwa cha kujiuliza, kwa nini leo tusiachane na tabia hizo?
tunapenga na kukojoa hovyo barabarani,
tukiwa tunahama tunang'oa hadi silingi bodi licha ya kuwa tumelikuta, na pia huwa tunaharibu vitasa vya milango,
tukienda kwenye pati tunaiba misossi na kuondoka na chupa,
jamani hivi kwa nini tuna tabia za ajabu?
Tabia zetu mbaya ni nyingi mno kiasi kwamba nikiandika zote hapa wino utaisha kwenye monitor yangu,
lakini kikubwa cha kujiuliza, kwa nini leo tusiachane na tabia hizo?