Kwanini Wasomi wengi huwa na msongo wa mawazo na Hasira za kila mara?

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Habari wadau,

Kuna swala moja naiona Sana Mtaan kwangu na Hua Lina nishangaza sana kuna majamaa kama wawil ivi wamesoma sana mmoja mwana sheria mwingine kasomea uinjinia.

Ni watu wetu wa karibu pale maskan kwetu ila Hua hawainjoi maisha kama sisi tunavyo yafuraia maisha Mara nying wao Hua wapole pale tunapo Anza kuongelea mchongo ya hela na matumizi yake

Mara nyingi wamekua watu wa kulaum serikal na hupenda kulazimisha kijiwen maneno yao ndio ziwe point.

Hua inafikia Hatua mtu kamzid kila kitu ila anamwita mjinga na kumwambia kua una hela alafu huna akili.

Kitu ambacho Hua kina fanya najiuliza yeye mwenye akili mbona kashinda kutafuta hela?

Na pale mtaani kwetu walio soma wote ndio Maskin na bado Wana ishi makwao ivi wasomi mnafeli wapi?
 
Kwenye psychology tunaita iyo ni projection defense mechanism....anaona huko aliko kazini ndiko chanzo Cha matatizo yake ya kiuchumi Ila kwakua haezi koroma uko...ndo anakuja kuwakoromea nyinyi katika Hali ya kuleta msawazo wa mwili na akili.......

Kuwa na pesa nyingi ni sanaa (art)zaidi kuliko science.......
Aisee!!!,hatari sana.
 
Msomi ni mtu gani?

Kuwa na hasira haina uhusiano wa moja kwa moja na elimu.

Mtu mwenye elimu (ya maisha au darasani) hawezi kushindwa kujadiliana na wenzake na hata kufikia kugombana nao.

Kila mtu ana elimu ila viwango tofauti.

Mleta mada una wazo kwamba msomi au mwenye elimu ni aliyesoma kiwango cha digrii.

Hao wasomi wako wenye tabia hizo pengine Wana shida nyingine Kama vile namna ya kutumia elimu zao au malezi mabaya.

Ukiniambia elimu imewaharibu, mimi ninakataa maana lengo la elimu yeyote ni kuboresha na siyo kuharibu.

Hasira, tabia za ajabu ajabu hazina uhusiano wa moja kwa moja na elimu ya chuo kikuu.

Pengine ninyi mnaojiona hamna elimu mnaanzisha zogo na kuwabagua hao wa digrii bila sababu ya msingi na kujikuta Wana react.

Vinginevyo, hakuna kitu kizuri Kama kuwa na ujuzi fulani katika maisha.

Mimi huwa ninafurahi sana nikiitwa Mwanasheria na zaidi ninapata amani ninapoulizwa maswali na kuyajibu kitaluuma na mtu anakuja tena na tena kupata ufumbuzi wa maswali kadhaa wa kadha ya kisheria.

Kwenye mijadala ninashiriki bila kukwazana na watu.
 
*Sie wajinga tumelizika sana no stress, kazi kufata mikumbo na umbea husio wa msingi.

*Sie wenye akili tunapenda sana kukosoa na wakati mwingine tunahisi kama kila kitu tunajua na tunaweza kufanikisha hata pasipo Mungu.
 
Wanatumia akili nyingi kuchambua mambo yakiwemo maswala ya taaluma zao, hivyo huwa wanajikuta wanachoka, na ukishachoka unakosa utulivu kiasi na utahitaji kupumzika. Kuna mstari kwenye kitabu cha mithali 'Maarifa au tuseme akili nyingi huchosha mwili'. Ndo maana wengi hawakai uswazi kukwepa mikelele na maneno kibao yasiyoisha na utakuta wengi hawanenepi sana kwa sababu ya akili kuelemea mwili. Mfano Mwl. Nyerere, Oboma, Mandela, Clinton, akili nyingi sana hao.
 
Wametoka kutegemea wazazi na sasa baada ya masomo wanataka kutegemea serikali na ndio maana wao lawama zao zote kwa serikali.
 
Habari wadau,

Kuna swala moja naiona Sana Mtaan kwangu na Hua Lina nishangaza sana kuna majamaa kama wawil ivi wamesoma sana mmoja mwana sheria mwingine kasomea uinjinia.

Ni watu wetu wa karibu pale maskan kwetu ila Hua hawainjoi maisha kama sisi tunavyo yafuraia maisha Mara nying wao Hua wapole pale tunapo Anza kuongelea mchongo ya hela na matumizi yake

Mara nyingi wamekua watu wa kulaum serikal na hupenda kulazimisha kijiwen maneno yao ndio ziwe point.

Hua inafikia Hatua mtu kamzid kila kitu ila anamwita mjinga na kumwambia kua una hela alafu huna akili.

Kitu ambacho Hua kina fanya najiuliza yeye mwenye akili mbona kashinda kutafuta hela?

Na pale mtaani kwetu walio soma wote ndio Maskin na bado Wana ishi makwao ivi wasomi mnafeli wapi?
Mmewaloga, wanaishi pasipostahili
 
Habari wadau,

Kuna swala moja naiona Sana Mtaan kwangu na Hua Lina nishangaza sana kuna majamaa kama wawil ivi wamesoma sana mmoja mwana sheria mwingine kasomea uinjinia.

Ni watu wetu wa karibu pale maskan kwetu ila Hua hawainjoi maisha kama sisi tunavyo yafuraia maisha Mara nying wao Hua wapole pale tunapo Anza kuongelea mchongo ya hela na matumizi yake

Mara nyingi wamekua watu wa kulaum serikal na hupenda kulazimisha kijiwen maneno yao ndio ziwe point.

Hua inafikia Hatua mtu kamzid kila kitu ila anamwita mjinga na kumwambia kua una hela alafu huna akili.

Kitu ambacho Hua kina fanya najiuliza yeye mwenye akili mbona kashinda kutafuta hela?

Na pale mtaani kwetu walio soma wote ndio Maskin na bado Wana ishi makwao ivi wasomi mnafeli wapi?
Wanakuwa wanaona yale ambayo wanadai hawajasoma hawayaoni. Ni sawa na Fatma karume anaona watu wananyanyaswa ila wako happy na hawaoni kama wananyanyaswa. Yeye inampa stress.
Ila mimi hata kama umesoma vipi ukawa na Phd za kutosha kama huwezi tatua matatizo yako ya kiuchumi, kwangu we boya tu.
 
Habari wadau,

Kuna swala moja naiona Sana Mtaan kwangu na Hua Lina nishangaza sana kuna majamaa kama wawil ivi wamesoma sana mmoja mwana sheria mwingine kasomea uinjinia.

Ni watu wetu wa karibu pale maskan kwetu ila Hua hawainjoi maisha kama sisi tunavyo yafuraia maisha Mara nying wao Hua wapole pale tunapo Anza kuongelea mchongo ya hela na matumizi yake

Mara nyingi wamekua watu wa kulaum serikal na hupenda kulazimisha kijiwen maneno yao ndio ziwe point.

Hua inafikia Hatua mtu kamzid kila kitu ila anamwita mjinga na kumwambia kua una hela alafu huna akili.

Kitu ambacho Hua kina fanya najiuliza yeye mwenye akili mbona kashinda kutafuta hela?

Na pale mtaani kwetu walio soma wote ndio Maskin na bado Wana ishi makwao ivi wasomi mnafeli wapi?
Ni kwambie mkuu, wengi tuliomaliza elimu zetu za juu tulikuwa na big expectations in life sasa tunapokuja mtaani na kukutana na real life, kamshahara hakapangiki kwa matumizi ya mwezi mzima, hapo ndipo stresses huanzia na wapi kwakuzitolea ni pale unapokutana na hoja alafu mtoa hoja yuko chini yako kielimu.
Hii kitu inawatafuna wasomi wengi sana... Alitamba Mwakyembe na degree zake nne..😆😆
 
*Sie wajinga tumelizika sana no stress, kazi kufata mikumbo na umbea husio wa msingi.

*Sie wenye akili tunapenda sana kukosoa na wakati mwingine tunahisi kama kila kitu tunajua na tunaweza kufanikisha hata pasipo Mungu.
Nakubaliana nawe mkuu. Wasomi wengi wamemuweka Mungu pembeni wakiamini uwezo wa fikra zao binafsi katika kufanikisha mambo mbalimbali
 
Habari wadau,

Kuna swala moja naiona Sana Mtaan kwangu na Hua Lina nishangaza sana kuna majamaa kama wawil ivi wamesoma sana mmoja mwana sheria mwingine kasomea uinjinia.

Ni watu wetu wa karibu pale maskan kwetu ila Hua hawainjoi maisha kama sisi tunavyo yafuraia maisha Mara nying wao Hua wapole pale tunapo Anza kuongelea mchongo ya hela na matumizi yake

Mara nyingi wamekua watu wa kulaum serikal na hupenda kulazimisha kijiwen maneno yao ndio ziwe point.

Hua inafikia Hatua mtu kamzid kila kitu ila anamwita mjinga na kumwambia kua una hela alafu huna akili.

Kitu ambacho Hua kina fanya najiuliza yeye mwenye akili mbona kashinda kutafuta hela?

Na pale mtaani kwetu walio soma wote ndio Maskin na bado Wana ishi makwao ivi wasomi mnafeli wapi?
Usomi haulipi TZ. Hata ukiwa profesa mshahara ni mdogo wakati mbunge darasa la saba anatanua kiroho mbaya. Mhutu ndiyo kabisa ameiharibu nchi. Hata salary increments hakuna huu mwaka wa 5!.
 
Back
Top Bottom