locust60
Senior Member
- Oct 1, 2008
- 101
- 12
Kwenye dunia hii ya sayansi na technologia maendeleao yanakuja kwa tafiti,nakama tafiti hizo hazita chapishwa (publish) jamii haitafaidika na ufumbuzi huo.nimejaribu kulingalisha nchi nne za afrika mashariki watani wanatuacha mbali.Duniani tuko nafasi ya 77 ,Shime wanataaluma andikeni na mchapishe ili jitihada zenu ziweze saidia jamii nzima.http://www.scimagojr.com/compare.php?c1=TZ&c2=KE&c3=UG&c4=RW&area=0&category=0&in=it