drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
jamani sinahakika kama limejadiliwa hapa.
Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito akaanza kueckti kila kitu kama anaujauzito kadri cku zilivyokwenda sioni dalili zaidi ya kuhimizwa nimwoe kila kukicha, nikamtema nikapata mwingine naye mda si mrefu naye akaanza ishu hiyo hiyo yani tofauti ni kiduchu tu naye akaanza story nimwoe kwa kasi nimpe majina matatu akaandike cliniki nikasepa watatu the same yy alikuwa ni mhuni nilipomtema akaanza fujo mwisho wa yote akasema lazima unioe kwani ninaujauzito wako nikambana tukapime akasepa ikawa salama yangu.
swali je cku hizi mimba ndokigezo cha kuolewa?
pls firstlady naitaji mchango wako
Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito akaanza kueckti kila kitu kama anaujauzito kadri cku zilivyokwenda sioni dalili zaidi ya kuhimizwa nimwoe kila kukicha, nikamtema nikapata mwingine naye mda si mrefu naye akaanza ishu hiyo hiyo yani tofauti ni kiduchu tu naye akaanza story nimwoe kwa kasi nimpe majina matatu akaandike cliniki nikasepa watatu the same yy alikuwa ni mhuni nilipomtema akaanza fujo mwisho wa yote akasema lazima unioe kwani ninaujauzito wako nikambana tukapime akasepa ikawa salama yangu.
swali je cku hizi mimba ndokigezo cha kuolewa?
pls firstlady naitaji mchango wako