johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,826
- 141,736
Hii nimeona mara nyingi lakini leo ndio nimeshangaa zaidi pale mshindi wa kamari ya Biko kutoka Bagamoyo ndugu Kahemele alipokabidhiwa zawadi yake ya sh milioni 20 na DAS wa Bagamoyo.
Kilichonishangaza ni pale DAS alipodai serikali itafuatilia na kusimamia matumizi na uwekezaji wa kijana huyo kupitia fedha hizo, sijaelewa serikali inahusika vipi na usimamizi wa fedha hizo za Biko ya kina Mpoki na Kajala.
Chanzo: ITV
Kilichonishangaza ni pale DAS alipodai serikali itafuatilia na kusimamia matumizi na uwekezaji wa kijana huyo kupitia fedha hizo, sijaelewa serikali inahusika vipi na usimamizi wa fedha hizo za Biko ya kina Mpoki na Kajala.
Chanzo: ITV