Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,721
- 19,863
Tupo kwenye kampeni ila karibia washehereshaji wa kampeni/ wasanii/ wanamziki wote wanafanya kazi upande mmoja tu hii inanishangaza sana yaani hata wakina Profesa Jay wameshindwa kutunga hata wimbo mmoja wa kusindikiza kampeni za CHADEMA?
Jambo hili linazaa maswali mengi sana kwa kweli inafika point unaanza kujiuliza je
1. Wanatishwa iwapo wakitunga wimbo wa kuiponda CCM
2. Wanaogopa wenyewe
3. Maslahi madogo upande wa Upinzani
4. Ubahili wa kuwalipa hao wasanii
Ila pamoja na yote wasanii wetu wa bongo flavor mmekuwa mkitunga nyimbo nyingi zinabeza upande wa upinzani je mmejiuliza iwapo upinzani ukishinda huoni kama Rais kutoka upinzani anaweza kuwapotezea kwa sababu mlikuwa mnawabeza kwa maneno mbali mbali kama vile "wapinzani wanambwera",wamekalia misumali",
Jambo hili linazaa maswali mengi sana kwa kweli inafika point unaanza kujiuliza je
1. Wanatishwa iwapo wakitunga wimbo wa kuiponda CCM
2. Wanaogopa wenyewe
3. Maslahi madogo upande wa Upinzani
4. Ubahili wa kuwalipa hao wasanii
Ila pamoja na yote wasanii wetu wa bongo flavor mmekuwa mkitunga nyimbo nyingi zinabeza upande wa upinzani je mmejiuliza iwapo upinzani ukishinda huoni kama Rais kutoka upinzani anaweza kuwapotezea kwa sababu mlikuwa mnawabeza kwa maneno mbali mbali kama vile "wapinzani wanambwera",wamekalia misumali",