Kwa ndugu zetu Waislamu wanalo baraza la kuidhinisha "Halal foods" yaani vyakula ambavyo havijachanganywa na hata chembe ya product/ ingredients yoyote itokanayo na nguruwe pamoja na wanyama wengine waliokatazwa kwa kadiri ya imani ya Waislamu, Wasabato na Wayahudi.
Ukiangalia bidhaa za Azam Bakhresa kumewekwa mhuri kabisa kwenye makasha ya bidhaa zao kama juisi, biskuti, mikate n.k kuonesha kuwa vyakula hivyo ni "Halali".
Kwanini sasa nduguzetu Wasabato nao wasingekua na baraza la kwao la kuidhinisha "Halali" kwa bidhaa za vyakula vinavyotumika kila siku majumbani ili wasabato wasije wakatumia vyakula "haramu" yaani ambavyo vimechanganywa na chembechembe za products za kitimoto.
Nawasilisha
Ukiangalia bidhaa za Azam Bakhresa kumewekwa mhuri kabisa kwenye makasha ya bidhaa zao kama juisi, biskuti, mikate n.k kuonesha kuwa vyakula hivyo ni "Halali".
Kwanini sasa nduguzetu Wasabato nao wasingekua na baraza la kwao la kuidhinisha "Halali" kwa bidhaa za vyakula vinavyotumika kila siku majumbani ili wasabato wasije wakatumia vyakula "haramu" yaani ambavyo vimechanganywa na chembechembe za products za kitimoto.
Nawasilisha