Tangu uchaguzi wa vyama vingi Tanzania 1995,vyama vya upinzani havijawahi kukubali kuwa vimeshindwa na kudai vimeibiwa kura.
1.wasiwasi huu unatoka wapi?.
2.uliwahi kutolewa ushahidi juu ya hili,kura zinaibwaje?
3.iliwahi kungundulika na uchaguzi ukarudiwa.
1.wasiwasi huu unatoka wapi?.
2.uliwahi kutolewa ushahidi juu ya hili,kura zinaibwaje?
3.iliwahi kungundulika na uchaguzi ukarudiwa.