The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,494
- 2,040
Mapambano ya kisiasa hayajawahi kuwa rahisi mahali popote duniani na hii ni kutokana na ukweli kwamba inakupa madaraka makubwa sana kwa njia nyepesi tu yaani kushawishi watu wakuunge mkono.
Ni kutokana na ukweli huo ndio maana ni kazi ngumu sana kumtoa madarakani anayetawala hivi sasa, kuliko ilivyokua wakati wa kumtoa mkoloni.
Cha ajabu ni kwamba wapinzani waliopo sasa hivi wanataka eti chama tawala kiwahurumie kiwarahisishie kufanya siasa, tuwe wakweli msipokuja na hatua serious kuliko hizi za kushinda mnalialia hakika wajukuu zetu na wajukuu wao watatawaliwa na CCM.
Ni kutokana na ukweli huo ndio maana ni kazi ngumu sana kumtoa madarakani anayetawala hivi sasa, kuliko ilivyokua wakati wa kumtoa mkoloni.
Cha ajabu ni kwamba wapinzani waliopo sasa hivi wanataka eti chama tawala kiwahurumie kiwarahisishie kufanya siasa, tuwe wakweli msipokuja na hatua serious kuliko hizi za kushinda mnalialia hakika wajukuu zetu na wajukuu wao watatawaliwa na CCM.