GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,054
- 107,538
Katika utafiti wangu mdogo sana nimegundua kuwa 99% ya wale Wanafunzi ambao Mashuleni na Vyuoni walikuwa na Sifa ya Kutukuka kuwa ni Wapiga chabo / Waibiaji kwa wenzao iwe katika Test au Exams maishani ndiyo huja kuwa na mafanikio makubwa na ya haraka mno kuliko wale Wasongo ( bookworms ) ambao mara nyingi ndiyo huwa Vipanga / Wanaofaulu sana lakini zile akili zao za Darasani huwa haziakisia maisha yao halisi ya sasa?
Je kuna Siri gani iliyojificha hapa?
Nawasilisha.
Je kuna Siri gani iliyojificha hapa?
Nawasilisha.