Kwanini wapiga Chabo wengi Mashuleni / Vyuoni hutusua sana maishani kuliko wale Wasongo wa Elimu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Katika utafiti wangu mdogo sana nimegundua kuwa 99% ya wale Wanafunzi ambao Mashuleni na Vyuoni walikuwa na Sifa ya Kutukuka kuwa ni Wapiga chabo / Waibiaji kwa wenzao iwe katika Test au Exams maishani ndiyo huja kuwa na mafanikio makubwa na ya haraka mno kuliko wale Wasongo ( bookworms ) ambao mara nyingi ndiyo huwa Vipanga / Wanaofaulu sana lakini zile akili zao za Darasani huwa haziakisia maisha yao halisi ya sasa?

Je kuna Siri gani iliyojificha hapa?

Nawasilisha.
 
Katika utafiti wangu mdogo sana nimegundua kuwa 99% ya wale Wanafunzi ambao Mashuleni na Vyuoni walikuwa na Sifa ya Kutukuka kuwa ni Wapiga chabo / Waibiaji kwa wenzao iwe katika Test au Exams maishani ndiyo huja kuwa na mafanikio makubwa na ya haraka mno kuliko wale Wasongo ( bookworms ) ambao mara nyingi ndiyo huwa Vipanga / Wanaofaulu sana lakini zile akili zao za Darasani huwa haziakisia maisha yao halisi ya sasa?

Je kuna Siri gani iliyojificha hapa?

Nawasilisha.
Huwa wanahofia kufeli mara mbili.... HICHO NDO HUWAPA USONGO WA KUTAFUTA...
WASONGO huwa wanadhani uwezo alionao darasani ndo huo huo atautumia huku kitaa

NB
1. Si kila msongo hajatusua kwenye maisha
2. SI kila mpiga chabo katusua kwenye maisha

Ngali K
 
Huwezi kuigilizia maisha.. Hawa mara nyingi wanakuwa ni watu wa mishemishe tokea wadogo hawana muda wa kusoma na kukamia saana. Ko wakifaulu darasani mara nyingi kwenye maisha siyo tatizo kwao, wanatusua tu. Sisi tulikuwa tunawaitaga wazee wa Kupenya.
 
Huwezi kuigilizia maisha.. Hawa mara nyingi wanakuwa ni watu wa mishemishe tokea wadogo hawana muda wa kusoma na kukamia saana. Ko wakifaulu darasani mara nyingi kwenye maisha siyo tatizo kwao, wanatusua tu. Sisi tulikuwa tunawaitaga wazee wa Kupenya.
Kujielewa napo ni mojq ya sababu.
Wwnaosoma sana Mara nyingi Wa kariri waliyosoma na hawaelewi kuwa wanachosoma ni kazi so
Soko la ajira linataka wanaojielewa na wenye uwezo Wa kubuni vitu.
Huwezi kuwa creativity wakati kila cku unalala na lacture book utaishia kukariri tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom