Kwanini wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA hawamuamini tena Zitto Kabwe?

zito hujenga hoja si mtu wa kuburuzwa.mbowe na slaa wanataka maROBOT ILI WAYABURUze.
 
Feedback kama Zitto amejikwaa na bado ni Kiongozi CDM basi tatizo sio Zitto tu, a big picture ni CDM na Zitto wote ni tatizo I mean ni commonsense zaidi kuliko maneno yako mengi ambayo ni empty politically! So inawezekana kuwa Zitto haiamini CDM kama ambavyo CDM hamuamini if it is the case here as of Mleta Mada.
 
Zitto namfananisha na William Ruto wa kenya wote ni wanasiasa vijana ila wanataka madaraka makubw sana kwa kipindi kifupi.Haikatazwi binadamu yoyote kuwa ambitious lakini kama ni kutaka kutimiza malengo yako binafsi haifai.
 
Feedback kama Zitto amejikwaa na bado ni Kiongozi CDM basi tatizo sio Zitto tu, a big picture ni CDM na Zitto wote ni tatizo I mean ni commonsense zaidi kuliko maneno yako mengi ambayo ni empty politically! So inawezekana kuwa Zitto haiamini CDM kama ambavyo CDM hamuamini if it is the case here as of Mleta Mada.
Nadhani mleta mada anazungumzia "wapenzi na mashabiki wengi wa CDM"

Au macho yangu?
 
Feedback kama Zitto amejikwaa na bado ni Kiongozi CDM basi tatizo sio Zitto tu, a big picture ni CDM na Zitto wote ni tatizo I mean ni commonsense zaidi kuliko maneno yako mengi ambayo ni empty politically! So inawezekana kuwa Zitto haiamini CDM kama ambavyo CDM hamuamini if it is the case here as of Mleta Mada.

Punguza longolongo mkuu na jaribu kuwa na hoja. Chadema inajengwa na watu na siyo mawe na Zitto mwenyewe akiwa ndani ya hiyo timu. Sasa unaposema Zitto haiamini Chadema unaonekana unajichanganya mwenyewe tu.
 
Ujue pro-Chadema wengi ni mateka wa Mbowe, sasa wanauona Zitto ni tishio kwa boss wao..

Kuanzia kipindi kile Zitto kutaka kugombea uenyekiti wa Chadema, ndio chuki ilianzia apo!

Ni uongo wa mchana peupe 7bu imani kwa zitto imepungua na kukaribia kuisha kabisa Tangia awekwe kwenye tume ile ya madini na ccm kumteka kiraisi na ktk kufisadi madini yetu na ukitaka kuamini fuatilia tangia pale amekua kimya na ccm wamekuwa wakijigamba wanajua bei ya zitto
 
Wanaompinga Zitto ni wachaga!. Wanahofia Zitto kuchukua madaraka kwenye taasisi yao.

Mkuu umefika mpaka kwenye ukabila? Kwani kama kanunuliwa na ccm ni wachaga wamemtuma?
 
hakai ofisini wala hajishughulishi na mambo ya chama siku hivi akiongea ni kama Zitto Siyo naibu katibu mkuu wa chadema.. mnafiki sana. then ukaribu wake na kina RA,EL na JK, pia kampuni ya barrick... I hate Zitto

Me too POMPO
 
Na katika thread hizo hizo wapo pia wanaoonyesha kwua bado wana imani na Zitto. na wao pia watupe sababu kwa nini wanaendelea kumwamini, labda itamsaidia Zitto kuzidi kujiimarisha

Kujiimarisha kwake huyu ngumu kwani keshanunuliwa na hafurukuti tena
 
Feedback kama Zitto amejikwaa na bado ni Kiongozi CDM basi tatizo sio Zitto tu, a big picture ni CDM na Zitto wote ni tatizo I mean ni commonsense zaidi kuliko maneno yako mengi ambayo ni empty politically! So inawezekana kuwa Zitto haiamini CDM kama ambavyo CDM hamuamini if it is the case here as of Mleta Mada.
Malecela nafikiri kinachotakiwa tujenge hoja from both sides tukiendelea kulumbania heading tutaonekana wote majuha, afterall ukisema Zitto haiamini CDM au CDM haimwamini Zitto wakati wa kuchangia lazima utatoa pros and cons za pande zote so i don't see the difference realy.
 
Kama nakumbuka vizuri wakati wa maandamano ya Ars Zitto alikuwa India kwa ajili ya matibabu, na CDM walipoenda ikulu kwa ajili ya swala la katiba yeye alikuwa safarini nje ya nchi.
Pamoja na hayo, Zitto haburuzwi kwenye maswala ya kijinga, yeye sio 'ndio mzee', anajua anachokifanya

Mnikumbushe kama zitto alikuwa kwenye matukio yafuatayo
1.maandamano ya arusha
2.safari ya kwenda ikulu
3.nikiongozi pekee ambaye hana kesi makamani kwajili ya cdm
4. Sijui kama anatoa kauli za cdm tena
 
Ni Mbowe amekutuma? Mbona unahangaika sana kuhamasisha chuki juu ya Zitto? Umeshatoa mada si utulie upate maoni au uchangie unapoona panakugusa? Umeona haitoshi unang'ang'ania wasio na imani ni wengi. Uchambuzi wako unafikiria JF iliyojaa maadui wa Zitto ndio itabadili ukweli wa mazuri yake?
Well, umetaka sababu za watu wengi kupoteza imani juu ya zitto.
1. Sio kweli kwamba watu wengi wamepoteza imani, ila kuna kundi la watu tena ndani ya chama chake kwa kumhofia wanapandikiza mbegu za chuki juu yake na kujitahidi kufanya watu wapunguze imani kwake, ila anayoyafanya yako wazi mbele ya Wote wenye macho na maskio.
2. Zitto yuko huru juu na anachoamini kuwa sahihi, hafanyi siasa za kizee na haoni tabu kumsifia mtu anapofanya jambo jema hata kama si wa chama chake. Mfano rahisi ni ishu ya posho, wameshakubaliana kama chama kwamba posho ya vikao si stahili yao, lakini watu wana tamaa wanaendelea kupokea tu huku wanasema wanapinga, sasa ujinga kama huu ndio Zitto asioweza kuuvumilia, yeye akaamua kutokupokea. Unategemea hapo watampenda?

Si baada yakuona ile ya madini washampatia chochote kitu akatafuta pa kutokea kaona kwenye posho kajaribu kaishia kujaribu
 
Huwezi hata kujificha kidogo chuki yako ukayakubali mazuri anayoyasimamia! Kwa kauli yako hiyo unamaanisha nini juu ya swala la posho, kwamba wabunge wanastahili kuongezewa sitting allowance? Basi wewe lazima utakuwa mbunge
Si baada yakuona ile ya madini washampatia chochote kitu akatafuta pa kutokea kaona kwenye posho kajaribu kaishia kujaribu
 
Mara kadhaa kwenye thread mbalimbali kumekuwa na kundi kubwa la mashabiki na wapenzi wa chadema kuonyesha waziwazi kutokuwa na imani na Zitto Kabwe mtu ambae walimuamini na kumpenda sana kabla hawaja anza kupoteza imani na mapenzi nae.

Sasa hivi usishangae kuona wanachama na wapenzi wa chadema kutokumpa kabisa nafasi ya kumzunguza kwa mema mbunge huyo machachari na matokeo mazungumzo mema yameelekezwa sana kwa John Mnyika, Tundu Lissu, Mdee na wakati mwingine kwa Godbless Lema.
Kautafiti kangu kadogo kamenisukuma kujiuliza na kuamua kuungana nanyi magreat thinker.

Hivi ni kwa nini wapenzi na mashabiki wa chadema hawana tena imani na Zitto Kabwe?
Tafadhari weka sababu huenda zikamsaidia kujirekebisha.

Nawasilisha.

Nani kakwambia kua sina iman nae wakat huyu ni mbunge wangu? Labda wengne na waseme wanamwonaje!
 
Tueleze na wewe umeishaifanini tanzania..achana na zito ni jembe kama ni wivu wenu wa kisiasa fanyieni huko huko sio humu ndani ya jukwaa.
 
Back
Top Bottom