MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Mara kadhaa kwenye thread mbalimbali kumekuwa na kundi kubwa la mashabiki na wapenzi wa chadema kuonyesha waziwazi kutokuwa na imani na Zitto Kabwe mtu ambae walimuamini na kumpenda sana kabla hawaja anza kupoteza imani na mapenzi nae.
Sasa hivi usishangae kuona wanachama na wapenzi wa chadema kutokumpa kabisa nafasi ya kumzunguza kwa mema mbunge huyo machachari na matokeo mazungumzo mema yameelekezwa sana kwa John Mnyika, Tundu Lissu, Mdee na wakati mwingine kwa Godbless Lema.
Kautafiti kangu kadogo kamenisukuma kujiuliza na kuamua kuungana nanyi magreat thinker.
Hivi ni kwa nini wapenzi na mashabiki wa chadema hawana tena imani na Zitto Kabwe?
Tafadhari weka sababu huenda zikamsaidia kujirekebisha.
Nawasilisha.
Sasa hivi usishangae kuona wanachama na wapenzi wa chadema kutokumpa kabisa nafasi ya kumzunguza kwa mema mbunge huyo machachari na matokeo mazungumzo mema yameelekezwa sana kwa John Mnyika, Tundu Lissu, Mdee na wakati mwingine kwa Godbless Lema.
Kautafiti kangu kadogo kamenisukuma kujiuliza na kuamua kuungana nanyi magreat thinker.
Hivi ni kwa nini wapenzi na mashabiki wa chadema hawana tena imani na Zitto Kabwe?
Tafadhari weka sababu huenda zikamsaidia kujirekebisha.
Nawasilisha.