Cowman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 1,710
- 3,145
Unataka kufanya biashara, unaenda TRA kwa ajili ya kupata TIN, TRA wanakwambia lete mkataba wa pango, wanakufanyia assessment na wanakwambia unatakiwa ulipe Rent Income Tax na Stamp duty. Unawauliza ndio nini hizo, wanakwambia ni malipo ya kodi kutoka kwenye kodi ya pango. Unawauliza tena ni nani anatakiwa kulipa kati yangu na mwenye nyumba, wanakujibu ni mwenye nyumba. Unamrudia mwenye nyumba na kumueleza anakujibu 'Kijana hayo mambo wanalipaga wafanyabiashara, unatakiwa ulipe wewe mimi Kodi yangu ni Laki Sita kwa mwenzi, utaki acha. Khaa!
Unapaniki kidogo, unaingia kwenye website ya TRA unakuta;
Withholding tax is the amount of tax retained by one person when making payments to another person in respect of goods supplied or services rendered by the payee. Payment subject to Withholding Tax include Rent.
Unajiuliza je nitafanyaje?...Hamna namna tena unarudi TRA na unalipa TZS 720,000/=
Sasa nauliza hivi nyie mabosi kwanini hatamataki kulipa hii kitu? Mbona tunapunguziana mitaji ndugu.
Unapaniki kidogo, unaingia kwenye website ya TRA unakuta;
Withholding tax is the amount of tax retained by one person when making payments to another person in respect of goods supplied or services rendered by the payee. Payment subject to Withholding Tax include Rent.
Unajiuliza je nitafanyaje?...Hamna namna tena unarudi TRA na unalipa TZS 720,000/=
Sasa nauliza hivi nyie mabosi kwanini hatamataki kulipa hii kitu? Mbona tunapunguziana mitaji ndugu.